Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee
Wacha burudani iendeleeMimi pia new comer lakini siwezi kupelekwa pelekwa kiboya ivo
Tatizo lenu mnakuja kishamba shamba. Kwetu ni burudani
Hivi bottom ndo yule wa chini halafu top ndo yule wa juu?Mm huwez kunipata pia niko hapa jf miaka mingi sana.. ila naongelea haka ka ushamba kenu ka kuembrace ushamba wa new comers..why uombe picha na namba ya new comer kama sio ushamba flan unakusumbua??
Bila shaka nawe utakuwa mhanga wa hiki ila baada ya kugundua kuwa umeingizwa kingi ukabadilisha ID ile nyingine ukaitelekezaMm huwez kunipata pia niko hapa jf miaka mingi sana.. ila naongelea haka ka ushamba kenu ka kuembrace ushamba wa new comers..why uombe picha na namba ya new comer kama sio ushamba flan unakusumbua??
Ndo huyo huyo afu anasema wa siku nyingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi bottom ndo yule wa chini halafu top ndo yule wa juu?
Upo miaka mingi so ulikuwa unatuzingua kule kwenye uzi wako?Mm huwez kunipata pia niko hapa jf miaka mingi sana.. ila naongelea haka ka ushamba kenu ka kuembrace ushamba wa new comers..why uombe picha na namba ya new comer kama sio ushamba flan unakusumbua??
Basi viwatu vipo humu JF vinajifanya vimejifichaaaa...eti kila mgeni akija ni kujifanya kudiss na kuwacheka wageni tu..Shame on you, aina ya ushamba mwingine huo. Ukihitajika popote utakamatika tu hata ujiite pundamizigo.
Bottom ndio jina lako au
@Bottom kitamboNdo huyo huyo afu anasema wa siku nyingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karibu mgeni,ila ni mwiko kupiga watu mizinga humu maana nina mashaka na sura yako