Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi viwatu vipo humu JF vinajifanya vimejifichaaaa...eti kila mgeni akija ni kujifanya kudiss na kuwacheka wageni tu..Shame on you, aina ya ushamba mwingine huo. Ukihitajika popote utakamatika tu hata ujiite pundamizigo.
tuliaUmeanza ushambenga wakati ulikuja jana tuu
Bottom tulia kwanza
Toa picha hiyoMy Name's Michael View attachment 1209926
Mjini apa usiamini kila unaevaa suti ukahisi afisaTatizo lenu mnakuja kishamba shamba. Kwetu ni burudani
Ila kuna watu wanajiona kama mfagio wa zamani humu Kumbe Kona nyingine tunazijua sisiNakushauri uwe mwema tu maana umeshajianika
Bae nfungulie PM tuchatTatizo lenu mnakuja kishamba shamba. Kwetu ni burudani
Asante fundi Michael, sipo interested!Bae nfungulie PM tuchat
Karibu mkuu
Ila nakuomba utoe hiyo picha na namba pulizzz
OkayHivi kuna tatizo gani mtu akifanya jambo lolote kwa kupenda kwake mwenyewe bila kushurutishwa na mtu mfano kama kuweka taarifa zako za kweli na namba zako za simu?
Au siku hizi JF hairuhusu watu kuweka picha zao humu kwenye thread? as long as hajashurutishwa na mtu nadhani aachwe afanye what makes him happy n confortable,kuna kama kina Mshana Jr walishaweka picha zao kabisa na sijawahi kuona ukimshauri mshana atoe picha yake..labda kama sikuona comment yako.
Achilia mshana kuna raia kibao washaweka picha na taarifa zao za kweli,ni kitu gan hasa kinachowaogopesha watu mpk mnaona kwamba mtu hatakiwi weka picha yake humu?
Kuna wachawi au kuna wanga au kuna majini kuloga humu yanayowatisha wenzetu?
Rafiki nimeipenda chura hiyo![emoji4][emoji4][emoji4]Okay
aibuuOkay
Aibu ya Nini?aibuu