officialmabanda
Member
- Jun 2, 2022
- 23
- 24
- Thread starter
-
- #21
Asante kwa upendo na ukarimu wenuKaribu sana. Humu kuna mengi mazuri na pia magumu. Kwakua umetuonyesha mpka sura yako, basi jitahidi uwe mstaarabu tofaut na wale form six wengine ambao wanakua sio wastaarabu. Utajifunza mengi sana ukiwa humu..
Jiamini, and enjoy the ride.
Naelewa kiongoz, Nina week chache tu nmeona kitaa kwa Moto, tushazoea scl pocket money ila now ata mya sipatiKijana soma sana,uku kitaa kugumu sana
HGLKaribu Dar , combination gani umesoma?
πππ aiseehWenzako wote weusi we mweupe. Ulikua unasoma kweli na unajua kutumia filter?
Tuma na picha ya dem wako bas
npo single kiongozTuma na picha ya dem wako bas
Matokeo bado ad mwez7Karibu Side mnyamwezi.
Ulipata division ngapi?
Hao ni mama zako kijanacocastic na depal ni akna Nani?
Matokeo bado ad mwez7Karibu Side mnyamwezi.
Ulipata division ngapi?
ππHao ni mama zako kijana
Sina.. pia namba nimefatilia juziKaribu sana
Je kitambulisho cha nida kipo wapi?
Dah[emoji1787]..Huyu jamaa akija kuzoea humu atajilaumu sn Kwa hii thread na isivyo bahati hataweza kufuta [emoji1787]Hao ni mama zako kijana
Its Pancho unazingua[emoji28]..mnamchosha bwana mdogo huyu,mwachemi apumzike sasaSina.. pia namba nimefatilia juzi
Watu watakuwa wanafukua kaburi hapa na kutumia kama defence mechanismDah[emoji1787]..Huyu jamaa akija kuzoea humu atajilaumu sn Kwa hii thread na isivyo bahati hataweza kufuta [emoji1787]
Lazima achangamke mkuu si unajua mgeni πIts Pancho unazingua[emoji28]..mnamchosha bwana mdogo huyu,mwachemi apumzike sasa
Dogo huku siyo fesibuku
Hbr, said abdalah new member wa jamii forums what i need from you is your cooperation [emoji120]