crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
- Thread starter
- #21
Asante sana mkuu kwa kutuongezea views. Tabu bado ipo mtaani.Nyimbo mbovu hamna jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu kwa kutuongezea views. Tabu bado ipo mtaani.Nyimbo mbovu hamna jipya
Ana ngoma yake Kali "sexy mama"Diamond anajua sana kuwafanyia Induction wasanii wake bado Lavalava nae apate busta kidogo naona sasa hivi kapoa sana.
Cheche ni nzuri kwa sababu ya yale mahadhi ya kihispaniaAfadhali hii nyingine inayoitwa cheche
Available in all digital platforms isikilize halafu leta maoni yako hapaView attachment 1568361
Personally nimependa sana ubunifu wa Diamond platnumz kutumia current situation pale anasema
"Tena wasipoteze muda kwa kura zao za kata,mi ndo kamati kuu hapa jimbo umepata."
All in all nyimbo ni nzuri
Mnakurupuka sasa nyimbo ya Diamond au Zuchu?Hizo ngoma zote kutolewa kwa siku moja ni uoga Wa Dayamondi kwa Kondeboi
Wimbo wakoMnakurupuka sasa nyimbo ya Diamond au Zuchu?
Jibu lako si lishangai kwa lina reflect nilicho kiuliza.Wimbo wako
fala kumbe unaweza kuandika vizuri....achaga uree chaliiYaani Mimi ku'comment vile imekuuma nini labda tuanzie hapo
Nyimbo inayotrend No . 1 youtube unaijua ?Diamond anajua sana kuwafanyia Induction wasanii wake bado Lavalava nae apate busta kidogo naona sasa hivi kapoa sana.
Ni wimbo wa Harmonize na IbrahNyimbo inayotrend No . 1 youtube unaijua ?
Upo nchi gani ?Ni wimbo wa Harmonize na Ibrah
Nipo burundi nanunua silaha za maangamiziUpo nchi gani ?View attachment 1569257
Hiv huyo harmonize kakupa kitu gani unampa hata sehemu ahusikiNipo burundi nanunua silaha za maangamizi