New music audio Zuchu ft Diamond Platnumz

New music audio Zuchu ft Diamond Platnumz

Ali Kiba na fans wake hawampendi Diamond kwasababu jamaa yupo good. Waliona ni talented tangu enzi anaimba Mbagala, wakamponda kwamba ataishiwa soon lakini mpaka leo anawaprove wrong.
We imagine, bila kumpambanisha Diamond hawa watu kama Ali Kiba na Harmonize nani angefuatilia story zao?
Hakuna kitu kinachoniangusha kutoka kwa Waafrika wenzangu kama jealous.
Tuna roho mbaya sana, watu wanasubiri flani afanye vibaya ili wacheke. Maisha sio hivyo. Inabidi tubadilike, negative mind brings negative energy to your body and you'll not have any positive results in your life because everything is negative about you.

I'm preaching.
 
Hizo ngoma zote kutolewa kwa siku moja ni uoga Wa Dayamondi kwa Kondeboi
Acha uongo ndivo ulivokuwa imepangwa ndio maana kwenye album ya rommy Jones hakutoa nyimbo ya zuchu ilizisiingiliane nyimbo tatu kwa mkupuo alaf kutoa nyimbo mbili kwa wakati mmoja Ni jambo la kijasiri Sana maana unazinyima nguvu nyimbo
 
fala kumbe unaweza kuandika vizuri....achaga uree chalii
This iz Chugastan bablai,,Mambo zako zaki mbax peleka kwenu umakondeni,,I reprezee The Hood where I from soro wewe,nakudere kaa whack tuu uwezi niletea mamlaka apa fyade,,perepete za kimamiloox simaindigi staki mazoea ariff
 
This iz Chugastan bablai,,Mambo zako zaki mbax peleka kwenu umakondeni,,I reprezee The Hood where I from soro wewe,nakudere kaa whack tuu uwezi niletea mamlaka apa fyade,,perepete za kimamiloox simaindigi staki mazoea ariff
ushamba
 
Noorw talkView attachment 1569944
Screenshot_20200914-200326.jpg
 
Nimetoka usikiza muda si mrefu Ila Kama mambo ya mduara🤔
 
Diamond Platnumz already made it sema kuna watu jealous tu. We fikiria uko na Alicia Keys unapiga nae story halafu hiyo kitu imekuja naturally tu. Hawa mbuzi wengine sijui Konde Gang sijui Kiba wanafosi tu. Mwacheni Nassibu, that guy is blessed, akishakufa Ndio mtagundua na kumpa sifa zake
 
Back
Top Bottom