New song: Eneka by Diamond Platnumz

New song: Eneka by Diamond Platnumz

Boooooooooonge moja la wimbo,hili goma akilifanyia video itakuwa ni shigda mtaani. "Kumbukeni DIAMOND Youtube chanel yake iko na udhamini,kwahiyo HAJAWAHI KUPATA HASARA YA VIDEO ZAKE."
kweliii kbsa
 
Zile mbili zimebuma kiaina so naoma kaamua kuja kwa ladha za kinejeria. Naona.kamwambia laizer abadili ladha ya biti maana wanaija wanatuzidigi biti tu but sio.mashairi

Ila huu kidogo nauona uko dope! Kuliko zile mbili.

mabiti ya wasafi yanafanana mno....rahisi sana kuyachoka. we fikiria harmonize atoe wimbo, rich atoe ray atoe queen nae atoe midundo hyo hiyo af diamond nae humo humo rahisi sana kuyachoka manyimbo yao...sielewi kwanini hawaendagi kwa kina kingluffa kina nahreel ....kiukweli nyimbo zao zinaisha ladha mapema sana
 
Diamond yuko na talent na anaijua biashara ya muziki ila his last two songs kama zimempa moto ivi it's better if he take a chill pill kwa sasa bado ana fan base kubwa na imara kwa wanaolewa music cycle wanajua kuna time ngoma inaweza isikupe kile umetarajia.

Eneka bado sijaona afikie zile touch zake kitu ambacho kipo ni Laizer kuburuza mdundo wenye ladha ya Naija ambayo kwangu sio mbaya sana ila nadhani angetulia kwanza avute pumzi then aje na joint yenye uzito sawa na yeye naamini anaweza kufanya ivyo hizi kelele zisimpe moto sana atajikuta anakurupuka sana.

ca415538f85b59ee2d9fb6e2377dd481.jpg


Nimeisikiliza mara nyingi simply ni Eneka ni average ingawa haichukizi pia, naamini hii sio official realese ivyo hata ikibuma haina damage kubwa kwenye career yake.
 
Back
Top Bottom