New: Tanzania is the East Africa's most urbanised nation

New: Tanzania is the East Africa's most urbanised nation

Wewe si pesa yako huwa inaishia Mombasa halafu unageuza na kurudi zako Tanzania. Sidhani hata kama umewahi tinga Nairobi hata kwa masaa machache. Stori yako ya kutembelea Mombasa ulishaiposti huku, tunakujua.
See how many trips I made in and out there in 2017,
20200610_141304.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya economy, business ,finance na development is clearly not your strength if can ask me how we have less millionaires than you yet your GDP is smaller...
Na kwani huyo billionaire wenu anazalisha billioni ngapi kwa mwaka. ?


so you want us to compare GDP pa capita now ?
bado mko chini yetu ....
Kenya GDP pa capita - 1,710.51 USD
Tanzania GDP pa capita - 1,050.68 USD
EThiopia GDP pa capita - 772.31 USD

Kuwa na millionaire/billionaire wengi kutushinda haisemi chochote kuhusiana na GDP, inamaanisha kuna pesa nyingi Tanzania ambayo ipo mikononi mwa wachache.. lakini hao wananchi wengine ni maskini wa kutupwa... hizo ni wealth distribution metrics.
Jambo la kufurahisha ni kwamba, sio tu tumewazidi kwa idadi kubwa ya Billionaire & Millionaire, Bali hata katika "weath distribution pia tumewazidi sana, Kumbuka Tanzania inaongezza Afrika katika " Economic inclusiveness index"
Tanzani Gini coefficient 40%
Kenya Gini Coefficient 42%
Hiyo ni dalili kwamba uchumi wa Tanzania unamilikiwa na kuwasaidia watanzania kuliko wa Kenya
 
Ha ha.. Your urban centers are no different from our rural areas.. Standards kaka..

What modern economy are you talking about? You are 60m people only doing 62usd billion in gdp.. While Kenya is just 47m people doing 100usd billion in gdp..
Yenu ni standards ziko chini,
Kwani hii gdp kazi yake c kununua vitu nje Au Ina kazi gani ?
 
Jambo la kufurahisha ni kwamba, sio tu tumewazidi kwa idadi kubwa ya Billionaire & Millionaire, Bali hata katika "weath distribution pia tumewazidi sana, Kumbuka Tanzania inaongezza Afrika katika " Economic inclusiveness index"
Tanzani Gini coefficient 40%
Kenya Gini Coefficient 42%
Hiyo ni dalili kwamba uchumi wa Tanzania unamilikiwa na kuwasaidia watanzania kuliko wa Kenya
As i said these wealth distribution metrics do not mean your GDP is bigger.. can we agree on that 1st?
 
Tanzania has one of most inclusive economies in Africa!

Nilifika SA nikashangaa watu wanaachana sana ktk sharing of national cake! Hata Kenya ukiwa maskini ni maskini kweli kweli! Sii Tz -Tz ni rahisi kutoka kimaisha kuliko Kenya
 
We ni fala Sana wa buku Saba, Singapore ni Nchi Ndogo kuliko Dark es Sluum.
Singapore - 725.1 km2
Population - 5.7 million

Dar es sluum - 1,393 km2
Population - 6 million
Matusi hayakusaidii kitu dogo,we umesema tanzania kuwa ni the most urbanised in east africa maana yake watu wanakusanyika dar es salaam,sasa nakuuliza swali huko singapore ambako ni 100% urbanised watu wanakusanyika wapi???..swali ni jepesi tu,nataka nikufundishe maana ya urbanised area in percentage maana yake nini...

Wala sikuongelea masuala ya area na population..
 
Matusi hayakusaidii kitu dogo,we umesema tanzania kuwa ni the most urbanised in east africa maana yake watu wanakusanyika dar es salaam,sasa nakuuliza swali huko singapore ambako ni 100% urbanised watu wanakusanyika wapi???..swali ni jepesi tu,nataka nikufundishe maana ya urbanised area in percentage maana yake nini...

Wala sikuongelea masuala ya area na population..
kalewa anaoverlap kauli zake mwenyewe,njaa plus kunusa gundi.
 
Urbanised meaning kila mtu Tanzania anakimbilia kuishi Dar es sluum.
The country of one City/Town.
Ungemaliza walau F4 ungekua na upeo wa kuchangia hii mada. ..ona madudu sasa unayotema[emoji23] [emoji23]
 
Matusi hayakusaidii kitu dogo,we umesema tanzania kuwa ni the most urbanised in east africa maana yake watu wanakusanyika dar es salaam,sasa nakuuliza swali huko singapore ambako ni 100% urbanised watu wanakusanyika wapi???..swali ni jepesi tu,nataka nikufundishe maana ya urbanised area in percentage maana yake nini...

Wala sikuongelea masuala ya area na population..
Nifunze Mkuu
 
You have more people in urban areas who do not produce anything. That is where Kenya defeats you, We have fewer people in urban areas (a cultural thing) but who produce 10X what you produce in far more complex jobs than the simple jobs in Tanzanian cities.
Also the largely rural parts of Kenya form the backbone of Kenyan economy.
Nyandarua a county that is largely rural produces more horticulture than the whole of Tanzania combined, they are also in the top five richest counties in Kenya.
Kericho a largely rural county is the largest tea producer in east and central africa with millionaires who would never want to step in the city.
Naivasha in Nakuru county is largely rural but is home to the second highest number of hotels after mombasa and home to the world famous Kenyan floriculture which earns Naivasha about kes 70 billion annually.
Kenya has more developed cities and urban centres than Tanzania but majorly people prefer to live in rural areas to make money from Agriculture. That is why Kenyan agriculture is worth almost triple that of Tanzania.
Uasin gishu county, home to eldoret town, very few people want to live in eldoret town majority are wheat farmers, maize farmers, avocado farmers and dairy farmers. They go to the eldoret town to buy machines for their farms and electronics(Yes the farmers have electronics that would be a luxury in Tanzanian cities).
There is nothing like 10× ,triple or whatever that you've mentioned, gdp per capital of ke is $1900 while of Tz is $1100 ,now do the math
 
There is nothing like 10× ,triple or whatever that you've mentioned, gdp per capital of ke is $1900 while of Tz is $1100 ,now do the math
Feelings peleka kwenyu! Facts do not lie. Tanzania is among the least developed countries in the world. In the same category as Niger, Zambia etc. Your infrastructure is dilapidated and absent in majority of the country. I have worked in Dar es salaam, what I saw was shunties and only arabs occupying the best shops. Almost all houses that africans lived in can be categorized as a slum in Kenya, similar thing I saw in zanzibar. Poverty beyong Imagination.
The city itself (Dar) is disorganized without any significant sprawling suburbs.
Try and lie to another person, I have lived and worked in your country, it is a huge mess. A cornucopia of disorganized buildings and citizens with low self esteem.
 
Feelings peleka kwenyu! Facts do not lie. Tanzania is among the least developed countries in the world. In the same category as Niger, Zambia etc. Your infrastructure is dilapidated and absent in majority of the country. I have worked in Dar es salaam, what I saw was shunties and only arabs occupying the best shops. Almost all houses that africans lived in can be categorized as a slum in Kenya, similar thing I saw in zanzibar. Poverty beyong Imagination.
The city itself (Dar) is disorganized without any significant sprawling suburbs.
Try and lie to another person, I have lived and worked in your country, it is a huge mess. A cornucopia of disorganized buildings and citizens with low self esteem.
Don't forget that Tanzania has got three times $millionaires than Kenya.
 
There is nothing like 10× ,triple or whatever that you've mentioned, gdp per capital of ke is $1900 while of Tz is $1100 ,now do the math
Just know you are not in our league. We are in the same region but you are way below Kenya. Try fighting it out with Rwanda, Uganda and Burundi.
 
There is nothing like 10× ,triple or whatever that you've mentioned, gdp per capital of ke is $1900 while of Tz is $1100 ,now do the math
Also get your facts right next time GDP per capita of Kenya is $4,071 (PPP) and $2,151 (Nominal)
 
Just know you are not in our league. We are in the same region but you are way below Kenya. Try fighting it out with Rwanda, Uganda and Burundi.
Wewe unaongea vitu gani? Unajivunia nn Uganda Rwanda na Burundi wako nyuma ndio lakini kuna vitu wanawazidi pia, ukadhan kujua kingereza ndio kua vizuri

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
We have bigger companies than you. We collect more taxes than you. We have more paved roads than you. We have a bigger ICT sector, banking sector, retail sector and so on. Kuna mambo mliyotushinda nayo na kuna mambo tuliyowashinda pia. Imf sio wajinga kusema uchumi wa Kenya ni mkubwa kushinda wenu. Kama unapinga nenda kapingane nao pengine watakusikiliza.
.
IMG_20200604_210602_054.JPG
 
Back
Top Bottom