New TARURA Parking Fee System inaenda kuwa aina mpya wizi na uonevu

New TARURA Parking Fee System inaenda kuwa aina mpya wizi na uonevu

Shida sio kulipa. Hupewi risiti halafu unakuta unadaiwa. Mbona mwanzoni tulikuwa tunalipa. Sasa hivi nini kinaendelea?
Hata hiyo ya risiti bado mlikuwa/ ni wasumbufu.

Mfano sasa hivi 12:20pm nimetoka kumdai dereva hela, anaanza kumwambia abiria alipe. Abiria anamwambia ni jukumu la dereva. Dereva anadai hana hela. NB: Mimi nipo Mamlaka nyingine siyo TARURA.
 
Hata hiyo ya risiti bado mlikuwa/ ni wasumbufu.

Mfano sasa hivi 12:20pm nimetoka kumdai dereva hela, anaanza kumwambia abiria alipe. Abiria anamwambia ni jukumu la dereva. Dereva anadai hana hela. NB: Mimi nipo Mamlaka nyingine siyo TARURA.
Ndio shida ya washamba kuhamia mjini. Really? Unafikiria kila mtu ana dhiki zako? We are talking issues here and you are bringing your insecurities!
 
Ndio shida ya washamba kuhamia mjini. Really? Unafikiria kila mtu ana dhiki zako? We are talking issues here and you are bringing your insecurities!
You are a vivid example of drivers I am talking about.

Hapa ninaongelea mada ya TARURA payment system, ila unanitukana. Sasa sipati picha ingekuwa ndiyo umeulizwa hela ya parking; si ungetoa bastola?😀
 
You are a vivid example of drivers I am talking about.

Hapa ninaongelea mada ya TARURA payment system, ila unanitukana. Sasa sipati picha ingekuwa ndiyo umeulizwa hela ya parking; si ungetoa bastola?😀
Wewe ni nani kuja na geeralization kuwa watu wote hawataki kulipa parking? Nani amekupa hizompowers? Kama sio ushamba ni nini?
Mfumo uboreshwe watu walipe kwa uhakika na kwa haki. Ilivyo sasa haieleweki na hakuna elimu iliyotolewa. Shida yetu watanzania tunadharau sana elimu. Ila tunaheshimu sana vyeti. Na ndio maana kuna watu wana vyeti ila hawajaelimika. Naogopa kusema sana kama na wewe uko kundi lipi.
Ni hivi, kuna kila sababu ya kuweka mambo sawa kwenye haya malipo.....
 
kikweli huu ni wizi mtupu,na mm nashangaa nimeangalia nadaiwa elfu 4 wakat nikitoka zangu hme ni kazin na kwenye shuguli zangu binafs na uko kote nina park free.Ss sijui hz gharama za parking zimetoka wapi na sijawah kuwekewa ata hyo receipt.
Hii serikali sijui kwa nn kila sku inakuja na njia mpya za kuwaibia wananchi wake,sijui ndio ubunifu wa vyanzo vipya vya mapato.
 
Wewe ni nani kuja na geeralization kuwa watu wote hawataki kulipa parking? Nani amekupa hizompowers? Kama sio ushamba ni nini?
Mfumo uboreshwe watu walipe kwa uhakika na kwa haki. Ilivyo sasa haieleweki na hakuna elimu iliyotolewa. Shida yetu watanzania tunadharau sana elimu. Ila tunaheshimu sana vyeti. Na ndio maana kuna watu wana vyeti ila hawajaelimika. Naogopa kusema sana kama na wewe uko kundi lipi.
Ni hivi, kuna kila sababu ya kuweka mambo sawa kwenye haya malipo.....
Halafu ni elimu gani mnataka pale mdaiwapo parking fees? Hili nimelikuta mara nyingi sana. Dereva anadaiwa parking fee anajibu embu nieleweshe/nipe elimu. Haya, akishapewa elimu anaanza kutoa excuse ili tu asilipe. Sasa hapa TARURA wanawaagiza mkalipe kwa control number. Sasa elimu gani tena hapa? Kwamba hujui benki? Yaani kama uambiwe 'hii dawa pima kijiko kimoja' halafu unaanza kutaka elimu ya namna ya kukishika kijiko.
 
Tokea siku ya Kwanza mfumo umeanza mwanzo wa mwezi wa 9 malalamiko hayaishi. Kama taasisi, unabuni mfumo unaokusaidia kuziba mianya ya upotevu wa fedha zinazokusanywa, ambalo kimsingi ni tatizo lako la ndani, lakini matokeo yake unapelekea kuwaadhibu wateja wako ambao Kwa kiasi kikubwa walikuwa wanakulipa vizuri tu hata kabla ya mfumo. Sawa umeamua kuuzindua lakini hata kuhakikisha kwamba umekamilika na kupitia majaribio kuhakiki ufanyaji kazi wake? Mara kadhaa nimetumia *152*00# kutazama deni aidha sipati majibu, au jibu linasema kuna shida kwenye mfumo, au napewa control number isiyolipika. Kwa akili za kawaida, ni kama vile nia ilikuwa kuongeza mapato kupitia faini. Maana Kwa taasisi zinazojali, pengine wangesitisha matumizi yake mpaka utakapokaa Sawa, au hata kuweka namba za simu wateja watakazotumia kusaidiwa kutatua changamoto. Yote hayajafanyika, badala yake waliotumia njia zisizo rasmi kufikisha malalamiko ya kuendelea kupigwa faini pamoja na kwamba mfumo hauwaruhusu kufanya malipo wanajibiwa kwamba hamna jinsi zaidi ya kulipa faini wakati mfumo unarekebishwa.
 
Halafu ni elimu gani mnataka pale mdaiwapo parking fees? Hili nimelikuta mara nyingi sana. Dereva anadaiwa parking fee anajibu embu nieleweshe/nipe elimu. Haya, akishapewa elimu anaanza kutoa excuse ili tu asilipe. Sasa hapa TARURA wanawaagiza mkalipe kwa control number. Sasa elimu gani tena hapa? Kwamba hujui benki? Yaani kama uambiwe 'hii dawa pima kijiko kimoja' halafu unaanza kutaka elimu ya namna ya kukishika kijiko.
Nenda shule ukadai pesa yako ya Ada,inaelekea shuleni hujafundishwa chochote wamekuibia,watu Wana complain wizi unaofanyika na si KULIPA,sisi dawasco tu walishawahi kutuletea bili ambayo si yetu,na tulishinda,kupitia watu wajinga Kama wewe wasiopenda kuishughurisha akili vilivyo ndo mnatuletea shida katika nchi hii,na mbaya zaidi utakuta umeshatuzalia watoto wa aina yako tayari,kwa hiyo tuna kazi kubwa
 
Halafu ni elimu gani mnataka pale mdaiwapo parking fees? Hili nimelikuta mara nyingi sana. Dereva anadaiwa parking fee anajibu embu nieleweshe/nipe elimu. Haya, akishapewa elimu anaanza kutoa excuse ili tu asilipe. Sasa hapa TARURA wanawaagiza mkalipe kwa control number. Sasa elimu gani tena hapa? Kwamba hujui benki? Yaani kama uambiwe 'hii dawa pima kijiko kimoja' halafu unaanza kutaka elimu ya namna ya kukishika kijiko.
Uko nje ya mada
 
Hata hiyo ya risiti bado mlikuwa/ ni wasumbufu.

Mfano sasa hivi 12:20pm nimetoka kumdai dereva hela, anaanza kumwambia abiria alipe. Abiria anamwambia ni jukumu la dereva. Dereva anadai hana hela. NB: Mimi nipo Mamlaka nyingine siyo TARURA.
Mada ni kutoza hela nyingi zaidi ya muda wa parking.
Kama wewe ni mhusika fuatilia.
 
😀
Nenda shule ukadai pesa yako ya Ada,inaelekea shuleni hujafundishwa chochote wamekuibia,watu Wana complain wizi unaofanyika na si KULIPA,sisi dawasco tu walishawahi kutuletea bili ambayo si yetu,na tulishinda,kupitia watu wajinga Kama wewe wasiopenda kuishughurisha akili vilivyo ndo mnatuletea shida katika nchi hii,na mbaya zaidi utakuta umeshatuzalia watoto wa aina yako tayari,kwa hiyo tuna kazi kubwa
Wajuaji tu. Parking fee jambo la compliance na halihitaji ujuaji. Umeambiwa kalipie nenda. Kama una dukuduku nenda ofisi husika. Kama hufanyi hayo na bado unalalamika na kutukana inakuwa siyo.

Halafu madereva wengi haswa IST &co ni wajuaji sana. Black and white unaambiwa lipia parking lakini utaanza manenooo.

Halafu gari ikizuiliwa mnaanza kulialia
 
Halafu ni elimu gani mnataka pale mdaiwapo parking fees? Hili nimelikuta mara nyingi sana. Dereva anadaiwa parking fee anajibu embu nieleweshe/nipe elimu. Haya, akishapewa elimu anaanza kutoa excuse ili tu asilipe. Sasa hapa TARURA wanawaagiza mkalipe kwa control number. Sasa elimu gani tena hapa? Kwamba hujui benki? Yaani kama uambiwe 'hii dawa pima kijiko kimoja' halafu unaanza kutaka elimu ya namna ya kukishika kijiko.
mkuu we kichwa kigumu sn aisee hakuna mtu anayepinga hio fee watu wanaongelea madeni wanaongelea madeni wanayoyaona kwe system wakati magari yao yako home, deni kubwa kuliko uhalisia, control number kugoma hivyo kushndwa kulipa kwa mda sahihi mpk deni kuongezeka na lingine mbn concerns zao zipo clear tu mzee?mtu kukataa kulipa ushuru wa maegesho ni issue nyingne kabisa haihusiani na hii mada acha kuvuruga watu
 
Mh
IMG-20211006-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom