Tetesi: New Tiger hotel Africana yauzwa kwa billionea mama wa kihaya, ni mmiliki wa shule Jirani, alipa Fedha taslimu bilioni moja

Tetesi: New Tiger hotel Africana yauzwa kwa billionea mama wa kihaya, ni mmiliki wa shule Jirani, alipa Fedha taslimu bilioni moja

Wadau hamjamboni nyote?

Hizo ni tetesi kutokea pande za mbezi Beach - africana

Yasemekana new tiger hotel/bar iliyopo hapo africana tayari imeuzwa

Mnunuzi yadaiwa ni mama mmoja tajiri wa kihaya anayemiliki shule na amelipa cash billion 1 kupata eneo hilo

Yasemekana pia mmiliki aliyeuza ni Marehemu na ni babake mwanaharakati maarufu mitandaoni anayeichachafywa sana Serikali na anayeishi ughaibuni

Mwenye taarifa sahihi atujuze maana tetesi zadai thamani ya eneo husika yaonekana ni kubwa mara mbili au tatu kuzidi thamani ya Fedha zilizolipwa

Juzi nimepita hapo kuna nyama choma safi na ugali! Pia pana lodge nzuri sana kwa nyuma chumba self 20,000.
I can guess and yet remain certain that "Mama wa tuela twa mboga" is the one you're talking. She fits so well in your description.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hizo ni tetesi kutokea pande za mbezi Beach - africana

Yasemekana new tiger hotel/bar iliyopo hapo africana tayari imeuzwa

Mnunuzi yadaiwa ni mama mmoja tajiri wa kihaya anayemiliki shule na amelipa cash billion 1 kupata eneo hilo

Yasemekana pia mmiliki aliyeuza ni Marehemu na ni babake mwanaharakati maarufu mitandaoni anayeichachafywa sana Serikali na anayeishi ughaibuni

Mwenye taarifa sahihi atujuze maana tetesi zadai thamani ya eneo husika yaonekana ni kubwa mara mbili au tatu kuzidi thamani ya Fedha zilizolipwa

Unajipifia pJuzi nimepita hapo kuna nyama choma safi na ugali! Pia pana lodge nzuri sana kwa nyuma chumba self 20,000.
Mkuu wewe ndiye mnunuzu nin?
 
Jina ni Tiger Motel sio Tiger Hotel.
Baada ya mmiliki kufa kwa kujiua, watoto wakashindwa ku pa run, most of the times rooms ni empty, na ukiongea tuu na mlinzi, unapewa room hata kwa 10,000 kujipumzisha!.

Kama ni kweli imeuzwa kwa 1 B, mnunuzi ni kama ameokuta!. Ila 1 B cash...!, I doubt!.

Fedha za Tanzania zinafungwa kwenye denominations ya milioni 1, kila bundle ni milioni 10, hivyo 1.B cash ni bandali 100 za milioni kumi kumi!, why ziwe cash?!.
P
Umezisahau billion 7 za kigogo wa TRA,

Mzee huu mji watu wana stocks za hela sometimes zaidi hata ya baadhi ya matawi ya banks
 
Jina ni Tiger Motel sio Tiger Hotel.
Baada ya mmiliki kufa kwa kujiua, watoto wakashindwa ku pa run, most of the times rooms ni empty, na ukiongea tuu na mlinzi, unapewa room hata kwa 10,000 kujipumzisha!.

Kama ni kweli imeuzwa kwa 1 B, mnunuzi ni kama ameokuta!. Ila 1 B cash...!, I doubt!.

Fedha za Tanzania zinafungwa kwenye denominations ya milioni 1, kila bundle ni milioni 10, hivyo 1.B cash ni bandali 100 za milioni kumi kumi!, why ziwe cash?!.
P
Yasemekana mnunuzi ni mmiliki wa shule ya st Joseph iliyopo nyuma tu ya motel hiyo na amerithi shule hiyo kwa Marehemu mumewe
 
Jina ni Tiger Motel sio Tiger Hotel.
Baada ya mmiliki kufa kwa kujiua, watoto wakashindwa ku pa run, most of the times rooms ni empty, na ukiongea tuu na mlinzi, unapewa room hata kwa 10,000 kujipumzisha!.

Kama ni kweli imeuzwa kwa 1 B, mnunuzi ni kama ameokuta!. Ila 1 B cash...!, I doubt!.

Fedha za Tanzania zinafungwa kwenye denominations ya milioni 1, kila bundle ni milioni 10, hivyo 1.B cash ni bandali 100 za milioni kumi kumi!, why ziwe cash?!.
P
Lugha tu hiyo, kamaanisha hazina deni.
 
No shule ya jirani sio Babro Johnson,
P
Hilo eneo inasemekana kanunua
Mama wa kihaya mwenye shule ya st joseph
Ila kwa b1 nawashangaa sana
Maana kuna jamaa yangu mmja ana kampuni ya contruction anaitwa Tom namis ana yuko vzr sana alishawapa offer ya juu zaidi ya hyo wakat fulani ila wao wakakata....hyo jamaa pesa ipo na na yuko vzr
Sema mjane na watoto wake wana wenge nqchojuwa tu wana njaa sahv
Watoto wa kimambi wale wkn ANL
wana njaa hatari kwqnza kabla waahauza mali nyingi za mzee na hawajafanya jambo lolote

Ova
 
Jina ni Tiger Motel, zamani Triz Motel na sio Tiger Hotel.

Baada ya mmiliki kufa kwa kujiua, watoto wakashindwa ku pa run, most of the times rooms ni empty, na ukiongea tuu na mlinzi, unapewa room hata kwa 10,000 tuu!, kujipumzisha!.

Kama ni kweli imeuzwa kwa 1 B, mnunuzi ni amenunua kwa bei chee karibu na bure, ni kama ameokota!. Ila 1 B cash...!, I doubt!.

Fedha za Tanzania zinafungwa kwenye denominations ya milioni 1, kila bundle ni milioni 10, hivyo 1.B cash ni bandali 100 za milioni kumi kumi!, why ziwe cash?!.
P
Nilibahatika kufika kijijini kwao huyu mwamba miaka ya karibuni huko Kahe,Moshi, nyumba zake pia zimechoka, yaani ukisikia mali kumfuata mwenyewe ndiyo hii. But he was a good guy in his life time kusaidia huko kwao.
 
Back
Top Bottom