New Year ndio nimeona faida ya kufahamiana na wahuni wa mtaani

Una bahati maana madisco ya chuga visu ni kawaida yani..Ungetiwa bero ya mbavu anytime. Chuga ndio sehemu pekee ambayo wahuni wakizingua nachill!
 
Mbona mzee kibajeti sana, halafu huyo muhuni mbona kakusaidia sana halafu ukamtoa bia moja
 
Halafu we mwenyewe muhuni vile vile
 
Kupigana na mtu ni zaidi ya kufanya mapenzi na mwanamke bila kutumia condom.
Kupigana na huyo muhuni ni kama kufanya mapenzi kavu kavu na Huyo demu wake.

Mtatoana damu muambukizane HIV kama mmoja wenu ni positive
 
Una bahati maana madisco ya chuga visu ni kawaida yani..Ungetiwa bero ya mbavu anytime. Chuga ndio sehemu pekee ambayo wahuni wakizingua nachill!
Chugga yaan huo ndo ushamba ulokua ukiniudhi. Yaan visu, masime, marungu. Hata fiesta ilikuaga changamoto. Unadhangaa mko na buridani ghafla someone be like unanijua mimi, anasoge,a shuka lake anatoa sime ama kisu ama bastola[emoji23]
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Aiseeee.. ni hatari sana. Hatari mno. Ila maisha club jamani. Ndo maana sipendagi outing za sehen kama hizo.

Kuna siku wanafunzi tukaenda. Uzuri ama ubaya wala pombe siziwezagi kwahiyo nakua sober tu nashangaa shangaa. Sasa kuna jamaa alikua na nyoka wake. Yule jamaa alikuta nimekaa naangalia pochi za wenzangu wanacheza mziki. Wengine wako counter kufata vinywaji. Alikua na nyoka wake kama watano hivi. Tukasalimiana. Nikajua ananifahamu labda. Tukawa tunapiga story. Ana american English bana naona ananichanganya akili yangu tu[emoji23]
Sindo akaanza ning'ang'ania anataka tuondoke? Sijui yule kaka ni anaishi usa ama maigizo na ngeli yake. Acha aanze kunivutaaa. Namwambia sikujui. Machozi almost kutoka. Kama fujo hv ikaanza. Nikaona kama wale nyoka nao wanataka lianzisha. Nikawaza wasije kuwa na silaha maana hawa ni manyoka. Jamaa haelewi anataka tuondoke wote. Ubaya hata sikumwuliza ni nani. Mbaya zaidi meza ile nalinda pochi za wenzangu. Machozi si yakanianza maana nguvu sina za kupigana. Good thing akatokea mkaka tunajuana na crew lake akaona akaja akanishika mkono. Yule kaka naye akapoa. Akameuliza are u with her akamjibu yes, she is my girl. Akawa mpole akamwambia cool man, am sorry. Jamaa akaondoka na nyoka wake. Nililiaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] sikuwahi kurudi tena maisha sijui 2009 ileee. Ila niliwaza kama wewe mambo ya viwembe. Maisha pa kishenz sana. Nilienda tu kwaajili ya jina
 
Chugga yaan huo ndo ushamba ulokua ukiniudhi. Yaan visu, masime, marungu. Hata fiesta ilikuaga changamoto. Unadhangaa mko na buridani ghafla someone be like unanijua mimi, anasoge,a shuka lake anatoa sime ama kisu ama bastola[emoji23]
Hiko ndio kilinifanya nipachukie chuga for life!
 
Yaan umepona chupuchupu apo alikutungia stor ili akubebe kibabe
 
Mbona mzee kibajeti sana, halafu huyo muhuni mbona kakusaidia sana halafu ukamtoa bia moja
Toka x mas mpaka new year nilishateketeza km laki 2 hv nilijua yule muhun angeomba tena nilimpa 1000 baadae nikampa nauli 1000 pia yule baunsa nikampa 1000 ya soda
 
Hahahahs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…