New Year ndio nimeona faida ya kufahamiana na wahuni wa mtaani

New Year ndio nimeona faida ya kufahamiana na wahuni wa mtaani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mna nini watu? Umenifurahisha sana. Yaan hayo mateso yoote hayo jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Wee.. alikua anapenda bata balaa. Alivyo mwembamba sasa... halaf anapiga safari. Nammiss sana aisee. Itabidi nimchek. Me sikua mtu wa baaataa kwa kweli[emoji23]
Labda mziki nisikilizeeee. Billz ndo nimepaenjoy. Na wajinga walokua wanatuzingua ni hao maafwandweee hao wanaolinda linda majengo ya benk tukirudi zetu chuo. Wapuuz kweli majamaa. Yale mabunduki yao ndo walikua wanatishia tishia watu ovyo. Ila jamani mtu kunionea sipendi na uoga wote unaondokagaaa. Eti wewe hapo kuja hapa.. kwa command. Ikabidi niulize kama nimetaka kupora hela za bank[emoji23][emoji23] wale wengine nikawajaza hakuna kuogopa tukaze tukaze.. nikamwongezea wala sina hela wala akaunt hiyo benk bana hatuji huko[emoji119][emoji119] sisi nia na dhumuni letu ni kurudi chuo[emoji23][emoji119][emoji119] yaan nahisi labda kuna ambao hata waaonewa aisee hata kubakwa usikute
Mzee mama una maseke ya kushato, toa kakijitabu sasa cha maisha ya chuo ili tupige hela kwa wakora[emoji3][emoji3]
 
Mzee mama una maseke ya kushato, toa kakijitabu sasa cha maisha ya chuo ili tupige hela kwa wakora[emoji3][emoji3]
Madhara ya HGL[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa naandikaga mood zikija tuu kama hv. Atleast i enjoyed kidogo na kaexposure maana msije kuta nimeolewa ndo naenda club sasa[emoji23]
 
Aliyesoma anihadithie,afupishe kwa mistari isiyozidi mitano
 
Hatutofautiani sana,kwa kawaida sina tabia ya kuogopa mtu hata kama ana mwili kama nyumba ukiniganda lazima nikiwashe na kikubwa hata nikipigwa sio kizembe lazima na wewe uumie by any means ndo natulia.
Ni kukichafua tu, sio kinyonge nyonge sometimes maboya wanavimbaga tu ilimradi. Kama mtu aelewi itikadi tunaweka parling la kibingwa tu tena scout jentaz wako jirani aah sio kinyonge.
 
Kuna mikasa ni heri kiepuka maana unaweza ingia ulingoni kumbe mpizani wako ana nyenzo viwembe, kisu, bisibisi akatumia akakutoa uhai....


kuna msala mmoja hivi ulishanitokea maisha club kitambo 2005 na nilikua vyombo tupo na mshikaji wangu nae mpenda fujo kichizi, katika kucheza mziki jamaa akawa anacheza vibaya anasukuma na kukunyagana nikamsukuma nikamwambia awe na adabu dah jamaa akarusha ngumi dah ghafla vurugu mimi na jamaa yangu tukauvaa ugomvi nakukumbuka mpinzani wangu aliingia club na viwembe, ile katika kupambana nae akatoa kiwembe ndani ya club na lile giza sikuona vizuri kama ni kiwembe, sema kwa kua nilikua na bia mkononi nikampasulia kichwani akazimia nikabebwa na mabaunsa nikawekwa kizuizini mpaka jamaa alipoamka nikawaeleza jamaa ana viwembe na alianzisha ugomvi na alificha viwembe kwenye soksi, ndiyo wakaniachia
Hivi ugomvi wa kupasuana na chupa za bia kwanini umeshamiri sana club!
 
[emoji23][emoji23] kuna siku nilienda part mbalamwezi. Sasa kuna wahuni walikua wanalazimisha mambo ya kubambiana. Nikawakataza sana. Watu hawaelewi. Halaf wamelewa chakari ila hizo fujo ni laana. Hakuna kitu sipendi kama kubambiwa tena na strangers. Nikaendelea kusisitiza jaman sitaki. Heeh wenzangu wakakasirika kwann nawakatalia kama wanaanzisha ugomvi. Nikasema haya sasa mazoea. Nguvu za kuvunjana sina ila niliamka na chupa mbili za lite zilikua na bia nikapasua chini paaaa nikasema kmmk asogeze kima yoyote hapa makengele yake tuuane. Yaan kila mtu na njia yake. Hata wanawake nilokua nao walisogea nika aki mtu kati. Watu wananambia wahini hao nikawaambia mwenyewe mtoto wa wahuni[emoji23][emoji23][emoji23] from there adabu.
Yah, hayo mazingira inabidi kujifyatua tu 😂😂😂!!! Kuna jamaa mmoja mu arachuga aliwahi kunletea hizo mapigo niko zangu Red Stone nakula starehe...nimejisogeza counter nachek na muhudum kukawa na pisi iko jirani imepakana na mwamba nikamuomba manzi anipe chance nimgongee mhudum counter.

Nimechukua chupa za vinywaji sijakaa vizuri nashangaa naguswa mabega, kucheki nakutana na mwamba ana miplasta kibao kichwani ananivimbia, oh kwanini umemgusa demu wangu pale. Nikamwambia nilichokuwa nataka ni huduma ya counter nimeomba uwazi nichukue ma bwax tu.

Jamaa haelewi nikaona mxng anazingua nikamkataa. Naenda mbele naona ananifuata. Nikamsimamishia unyoya sasa kwani vipi mzee, nikamdindia mara ghafla nikaona wana wamekuja kuamulia bana mkaukie..mara mabaunsa wakaja asee mkaukie jamaa tu wakamtoa maeneo yale. Bata likaendelea sema nilihamia floor ya juu lounge nikaenda tulia zangu.
 
Aiseeee.. ni hatari sana. Hatari mno. Ila maisha club jamani. Ndo maana sipendagi outing za sehen kama hizo.

Kuna siku wanafunzi tukaenda. Uzuri ama ubaya wala pombe siziwezagi kwahiyo nakua sober tu nashangaa shangaa. Sasa kuna jamaa alikua na nyoka wake. Yule jamaa alikuta nimekaa naangalia pochi za wenzangu wanacheza mziki. Wengine wako counter kufata vinywaji. Alikua na nyoka wake kama watano hivi. Tukasalimiana. Nikajua ananifahamu labda. Tukawa tunapiga story. Ana american English bana naona ananichanganya akili yangu tu[emoji23]
Sindo akaanza ning'ang'ania anataka tuondoke? Sijui yule kaka ni anaishi usa ama maigizo na ngeli yake. Acha aanze kunivutaaa. Namwambia sikujui. Machozi almost kutoka. Kama fujo hv ikaanza. Nikaona kama wale nyoka nao wanataka lianzisha. Nikawaza wasije kuwa na silaha maana hawa ni manyoka. Jamaa haelewi anataka tuondoke wote. Ubaya hata sikumwuliza ni nani. Mbaya zaidi meza ile nalinda pochi za wenzangu. Machozi si yakanianza maana nguvu sina za kupigana. Good thing akatokea mkaka tunajuana na crew lake akaona akaja akanishika mkono. Yule kaka naye akapoa. Akameuliza are u with her akamjibu yes, she is my girl. Akawa mpole akamwambia cool man, am sorry. Jamaa akaondoka na nyoka wake. Nililiaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] sikuwahi kurudi tena maisha sijui 2009 ileee. Ila niliwaza kama wewe mambo ya viwembe. Maisha pa kishenz sana. Nilienda tu kwaajili ya jina
Jamaa alitaka atumie mabavu kujitwalia mwana mwali.
 
Yah, hayo mazingira inabidi kujifyatua tu [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Kuna jamaa mmoja mu arachuga aliwahi kunletea hizo mapigo niko zangu Red Stone nakula starehe...nimejisogeza counter nachek na muhudum kukawa na pisi iko jirani imepakana na mwamba nikamuomba manzi anipe chance nimgongee mhudum counter.

Nimechukua chupa za vinywaji sijakaa vizuri nashangaa naguswa mabega, kucheki nakutana na mwamba ana miplasta kibao kichwani ananivimbia, oh kwanini umemgusa demu wangu pale. Nikamwambia nilichokuwa nataka ni huduma ya counter nimeomba uwazi nichukue ma bwax tu.

Jamaa haelewi nikaona mxng anazingua nikamkataa. Naenda mbele naona ananifuata. Nikamsimamishia unyoya sasa kwani vipi mzee, nikamdindia mara ghafla nikaona wana wamekuja kuamulia bana mkaukie..mara mabaunsa wakaja asee mkaukie jamaa tu wakamtoa maeneo yale. Bata likaendelea sema nilihamia floor ya juu lounge nikaenda tulia zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee... me nimegundua at times ukiwa mnyonge sana utapotea aisee. Yaan inabidi uvimbe haswaa. Wahuni wapuuzi sana. Kuna watu wanawaza shari muda wote. Ya kazi gani sasa?

Yaan kwanza club usiende mwenyewe ikiwezekana. Hakikisha una crew yako ya backup. Wanawake wenyewe saa zingine makunguru wamejiokitea huko tu. Hiyo miplasta keshakula ngeu bado anataka mitano tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Broh ukiwa viwanja punguza kuvamia kuna watu wakishalewa wanawaza ugomvi tu

Jifunze ngumi hata kidogo mkuu unyonge mda mwingine utakutia aibu pia penda kutoka na company
Kampan nilikuwa nazo kibao tu sema baadh nilizipigq chin sababu wanapenda ofa za bia balaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mna nini watu? Umenifurahisha sana. Yaan hayo mateso yoote hayo jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Wee.. alikua anapenda bata balaa. Alivyo mwembamba sasa... halaf anapiga safari. Nammiss sana aisee. Itabidi nimchek. Me sikua mtu wa baaataa kwa kweli[emoji23]
Labda mziki nisikilizeeee. Billz ndo nimepaenjoy. Na wajinga walokua wanatuzingua ni hao maafwandweee hao wanaolinda linda majengo ya benk tukirudi zetu chuo. Wapuuz kweli majamaa. Yale mabunduki yao ndo walikua wanatishia tishia watu ovyo. Ila jamani mtu kunionea sipendi na uoga wote unaondokagaaa. Eti wewe hapo kuja hapa.. kwa command. Ikabidi niulize kama nimetaka kupora hela za bank[emoji23][emoji23] wale wengine nikawajaza hakuna kuogopa tukaze tukaze.. nikamwongezea wala sina hela wala akaunt hiyo benk bana hatuji huko[emoji119][emoji119] sisi nia na dhumuni letu ni kurudi chuo[emoji23][emoji119][emoji119] yaan nahisi labda kuna ambao hata waaonewa aisee hata kubakwa usikute
Sikia dada hao walinz wakikuita km huna kosa usiende tena jiamin we ondoka zako tu nasema hv kwa sababu kwanza hawaruhusiw kwenda mbali na lindo lao hvo sio rahis kukufuata anakuita kuja hapa aone mindset yko ikoje akiona unajiamin tu ana2lia mwenyewe tena usiku ukienda watakubaka kabisa
 
Sikia dada hao walinz wakikuita km huna kosa usiende tena jiamin we ondoka zako tu nasema hv kwa sababu kwanza hawaruhusiw kwenda mbali na lindo lao hvo sio rahis kukufuata anakuita kuja hapa aone mindset yko ikoje akiona unajiamin tu ana2lia mwenyewe tena usiku ukienda watakubaka kabisa
Yes mkuu. Najua kbs hawaruhusiwi basi tu ujinga wao. Si wanaamini mtu utaogopa na mabunduki yao
 
Habari za mwaka 2021 wadau

Twende kwenye mada, nikiwa somewhere nausubiri mwaka mpya nilipata msala nadhani wengi mnajua maeneo unayoishi mtu lazima kunakuwa na vijana wahuni wanaokaa hapo mtaani, hawa watu wakikuzoea sometime ni shida wanaombaomba usipime kila akikuona iwe baa iwe njiani jiandae utasikia broo ninunulie bia moja basi ukimwambia sina pesa utasikia ninunulie sigara basi au nisaidie mia 6 yaan usiombe wakujue hawa wadau ni mwendo huo huo kila siku iendayo kwa MUNGU

Sasa kipind cha karibuni nimekuwa mgumu sana siwapi hela kabisa hata 200 ya sigara siwapi sasa nikiwa nasubir mwaka mpya kuna eneo nilikwenda kiingilio ni bia kwa kuwa mm sinywi bia nakunywa GRAND MALT nikawaelezea mabaunsa wakanielewa nikapita kuna muhun mmoja niliongozana nae yy alikuwa hana ela ata ya bia huyu nilimuacha apo apo nje nikamwambia subir nakuja sikuja nikaja kumchek baadae nikakuta kashaondoka

Nikazama ndan nikakutana na wahun wa kitaa wananijua siku hz nilivokuwa mgumu kila wakiomba ofa ya bia nawatosa nawaambia sina hela mmmh jamaa wakachoka ikabid watulie kuna muhun mmoja hv huyu nafahamiana nae mda mrefu sn akaniomba mia 5 aongezee anunue bia dah nikaona isiwe kes nikampa sasa basi kipind nimetulia akapita mrembo mmoja hv nyuma yke kulikuwa na mshikaj mm nikajua hawapo wote nikamshika yule demu mkono aiseee

Ile namsimamisha tu demu demu akakwepesha mkono kuonesha hatak duh kuchek nyuma shikaji limevimba uso mwekundu kakunja ndita km anataka kunirukia vile aisee ikabid nijichekeshe nikamwambia haaah shemej kumbe mpo na uyu dah heri ya mwaka mpya jamaa bado limekasirika likamwita yule demu wake likawa linaniladhimisha niongee nae nikamwambia mm sikujua km mpo wote nilikuwa nampa hi !!! Tu nakaongea na bra bra kibao ili kumtuliza mshikaji jamaa bado limekunja ndita linaniuliza "unadhan uyu MALAYA "

Nikamwambia hapana mm sitongoz malaya nikimchek shemej katulia kabisa mtotp kasettle huyu jamaa bado linaongea maneno ya jazba nikawa makin sasa maana nilianza kuhis lisije
Kunivaa tukazichapa pale pale kimuonekana anaonekana ana mazoez sio km nguvu za kuwekeana nae ubavu sina shida sikutaka kuguswa jamaa lenyewe macho mekundu lishabwia konyag nikawa namwelewesha haelewi lile li demu lenyewe sijui lilikuwa linataka tupigane liko pemben tu linarembua baada lije limchukie jamaa yke wasepe lipo pemben linajibedua dah nikasema ngoja nimpotezee maana sio target na hana madhara mwenye madhara ni uyu jamaa ikabid nimwombee msamaha jamaa bado halielew yaan lipo km linataka kunirukia dah

Nikiwa bado nahangaika nae muhun wangu wa kitaa alikuja fasta km mshale from no where akakaa kati kati yetu km shield na kuna mshikaji mwingine pia nae akaingilia ule ugomvi ikawa 2 shields na kuna wengine wakaja tukawa km 7 hv afu kuna watu pemben wanalichek hilo tukio km movie lile lidemu lipo pemben bado linarembua likawa linamwrlezea jamaa fulan pamoja na demu mwingine " kwan vp hapa " lile lidada " huyu kaka kataka kunishika mm mkono alijua mm sijui malaya akati mm nimekuja na mpenz wangu uyo apo "

Nikampuuza maana niliona yule dada aliona ule ugomvi unampaisha sn alijiona malakka ivo alitaman kuona ugomvi unakuwa mkubwa huku yule muhun wangu kamdhibit yule jamaa jamaa baada ya kuona kadhibitiwa akawa anataka km kupita katikati ya watu kwa nguvu ili aje anivae muhun wangu upo vzr alimdhibit vilivyo mpaka jamaa akatulia kisha akaniita tukaekana sawa yy akiwa km msuluhish gafla yy anaongea na watu wengine aisee jamaa likanivimbia tena linanishika mkono km mtuhumiwa "ww ulijua huyu MALAYA " nikamwita muhun wangu akawa anamsoundisha nikamwambia bro yameisha bwana tusameane tu mm naenda counter kuchukua vinywaji lengo langu hapo sio kuchukua vinywaj ni kumkimbia maana kuna msela mmoja aliininong'oneza hapo ondoka

Nikiwa naelekea counter gafla lile jamaa linanifuata likaja likanishika mkono km mtuhumiwa bado limekunja ndita yule muhuni wangu nae bila kupoteza mda akawa nae kafika akamwambia yule jamaa "MWACHIE KWANZA " akamtoa mkono
Lile lidenu lipo nyuma km kawaida anarembua tu

Muhun wangu akaniambia hapa cha kufanya ili haya yaishe tununulie bia mbili mbili mia na uyu jamaa nikwamwambia NO siwez kufanya UFALA huo yaan ni bora nikununulie ww lkn sio hili jamaa demu wake mwenyewe kavaa kihasara hasara saiz saa 5 usiku upo apa baa mm ntajuaje uyu demu uyu malaya akaniambia basi malizana nae mwenyewe nikamwambia nenda kawaite SECURITY

Haya maneno yote tuliongea kwa kunong'onezana jamaa hakujua kitu gafla likaja bado limeniganda nikimwangalia mikononi kashakunja ngumi duh muhun wangu kaja kat tena nikaona hii chance sipotez nikakinbilia kwa mabaunsa nikawaelezea sek 4 nying jamaa huyo nikawaonesha jamaa mwenyewe huyo apo mabaunsa wakamdhibit

Yule nuhun wangu akaja akaniambia twende ndan achana nae uyo mchumba tu nikamuuliza utaweza kupigana nae akaniambia uyu mchumba tu akapiga ngumi mbili ukutan km TEST au MKWARA

Nikamwambia akikuponyoka atanivaa akaniambia hawez nipo mm tukazunguka mlango mwingine ili jamaa tumpotezee aisee kumbe jamaa linatutafuta bado ile tunaingia tu mlango wa pili huyo nae kafika nikaona sasa hii hatat nikamwambia baunsa niliemkuta pale mlangon uyo jamaa analeta fujo bahat nzur kumbe yule mubun wangu na uyo baunsa wanajuana apa waLimdhibit vilivyo hakufurukuta

Kisha akaniita mm tukaekana sawa akaondoka na demu lake nikawanunulua bia moja moja yule baunsa na yule nuhun wangu nikasepa
Daah point yako nini haswa
 
Hivi ugomvi wa kupasuana na chupa za bia kwanini umeshamiri sana club!
Chupa zipo karibu kubeba na kuzijeuza silaha unainua unarusha itakayompata unanunua ugomvi mwingine [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom