New Year ndio nimeona faida ya kufahamiana na wahuni wa mtaani

Mzee mama una maseke ya kushato, toa kakijitabu sasa cha maisha ya chuo ili tupige hela kwa wakora[emoji3][emoji3]
 
Mzee mama una maseke ya kushato, toa kakijitabu sasa cha maisha ya chuo ili tupige hela kwa wakora[emoji3][emoji3]
Madhara ya HGL[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa naandikaga mood zikija tuu kama hv. Atleast i enjoyed kidogo na kaexposure maana msije kuta nimeolewa ndo naenda club sasa[emoji23]
 
Aliyesoma anihadithie,afupishe kwa mistari isiyozidi mitano
 
Hatutofautiani sana,kwa kawaida sina tabia ya kuogopa mtu hata kama ana mwili kama nyumba ukiniganda lazima nikiwashe na kikubwa hata nikipigwa sio kizembe lazima na wewe uumie by any means ndo natulia.
Ni kukichafua tu, sio kinyonge nyonge sometimes maboya wanavimbaga tu ilimradi. Kama mtu aelewi itikadi tunaweka parling la kibingwa tu tena scout jentaz wako jirani aah sio kinyonge.
 
Hivi ugomvi wa kupasuana na chupa za bia kwanini umeshamiri sana club!
 
Yah, hayo mazingira inabidi kujifyatua tu 😂😂😂!!! Kuna jamaa mmoja mu arachuga aliwahi kunletea hizo mapigo niko zangu Red Stone nakula starehe...nimejisogeza counter nachek na muhudum kukawa na pisi iko jirani imepakana na mwamba nikamuomba manzi anipe chance nimgongee mhudum counter.

Nimechukua chupa za vinywaji sijakaa vizuri nashangaa naguswa mabega, kucheki nakutana na mwamba ana miplasta kibao kichwani ananivimbia, oh kwanini umemgusa demu wangu pale. Nikamwambia nilichokuwa nataka ni huduma ya counter nimeomba uwazi nichukue ma bwax tu.

Jamaa haelewi nikaona mxng anazingua nikamkataa. Naenda mbele naona ananifuata. Nikamsimamishia unyoya sasa kwani vipi mzee, nikamdindia mara ghafla nikaona wana wamekuja kuamulia bana mkaukie..mara mabaunsa wakaja asee mkaukie jamaa tu wakamtoa maeneo yale. Bata likaendelea sema nilihamia floor ya juu lounge nikaenda tulia zangu.
 
Jamaa alitaka atumie mabavu kujitwalia mwana mwali.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee... me nimegundua at times ukiwa mnyonge sana utapotea aisee. Yaan inabidi uvimbe haswaa. Wahuni wapuuzi sana. Kuna watu wanawaza shari muda wote. Ya kazi gani sasa?

Yaan kwanza club usiende mwenyewe ikiwezekana. Hakikisha una crew yako ya backup. Wanawake wenyewe saa zingine makunguru wamejiokitea huko tu. Hiyo miplasta keshakula ngeu bado anataka mitano tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Broh ukiwa viwanja punguza kuvamia kuna watu wakishalewa wanawaza ugomvi tu

Jifunze ngumi hata kidogo mkuu unyonge mda mwingine utakutia aibu pia penda kutoka na company
Kampan nilikuwa nazo kibao tu sema baadh nilizipigq chin sababu wanapenda ofa za bia balaa
 
Sikia dada hao walinz wakikuita km huna kosa usiende tena jiamin we ondoka zako tu nasema hv kwa sababu kwanza hawaruhusiw kwenda mbali na lindo lao hvo sio rahis kukufuata anakuita kuja hapa aone mindset yko ikoje akiona unajiamin tu ana2lia mwenyewe tena usiku ukienda watakubaka kabisa
 
Broh ukiwa viwanja punguza kuvamia kuna watu wakishalewa wanawaza ugomvi tu

Jifunze ngumi hata kidogo mkuu unyonge mda mwingine utakutia aibu pia penda kutoka na company
Sisi 2liosomea karate huwa haturuhusiw kupigana maana 2kianza kutoa dpz huwa 2natembeza kichapo kitakatifu
 
Yes mkuu. Najua kbs hawaruhusiwi basi tu ujinga wao. Si wanaamini mtu utaogopa na mabunduki yao
 
Daah point yako nini haswa
 
Hivi ugomvi wa kupasuana na chupa za bia kwanini umeshamiri sana club!
Chupa zipo karibu kubeba na kuzijeuza silaha unainua unarusha itakayompata unanunua ugomvi mwingine [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…