New Year ndio nimeona faida ya kufahamiana na wahuni wa mtaani

Dah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama kula ujana basi sikubakisha chenji, sahivi utu uzima dawa, tumewaachia vizazi vya kileo, ila mtu wangu inaonekana kipindi hicho wewe na gang lako mlikua mnarudi masikini late kinoma noma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umetumia pesa hazijabaki chenji sasa [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] kama burudani umezila kinoma
 
unatuonyesha jinsi ulivyo muoga eeh. Yaani saa zote hizo unashindwa kumng'oa mtu meno
Fala kweli wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…