beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kuhakikisha kunakuwepo Usawa wa Kijinsia licha ya vikwazo vinavyojitokeza
Amesema hayo akishiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Aidha, amesema hivi karibuni ameunda Timu ya Wataalamu inayoangalia namna bora kwa Tanzania kupata Usawa wa Kijinsia na miongoni mwa maeneo inayopitia ni marekebisho ya Sheria Kandamizi
————
Rais wa WorldBank, David Malpass amesema Benki hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali kukuza Uchumi kupitia mabadiliko ya kidogitali kwa kushirikiana na Sekta Binafsi
Ameeleza hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu ambaye ameishukuru WB kwa mchango wake kwa Tanzania kwenye huduma za jamii na mapambano dhidi ya COVID19
Pia, Rais amefanya mazungumzo kuhusu kuwezesha Biashara kwa kuimarisha upatikanaji wa Chanjo, usimamizi wa uvuvi na kilimo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), Ngozi Okonjo-Iweala
Amesema hayo akishiriki Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Aidha, amesema hivi karibuni ameunda Timu ya Wataalamu inayoangalia namna bora kwa Tanzania kupata Usawa wa Kijinsia na miongoni mwa maeneo inayopitia ni marekebisho ya Sheria Kandamizi
————
Rais wa WorldBank, David Malpass amesema Benki hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali kukuza Uchumi kupitia mabadiliko ya kidogitali kwa kushirikiana na Sekta Binafsi
Ameeleza hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Rais Samia Suluhu ambaye ameishukuru WB kwa mchango wake kwa Tanzania kwenye huduma za jamii na mapambano dhidi ya COVID19
Pia, Rais amefanya mazungumzo kuhusu kuwezesha Biashara kwa kuimarisha upatikanaji wa Chanjo, usimamizi wa uvuvi na kilimo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO), Ngozi Okonjo-Iweala