The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Vituko, huko New York, mwizi baada ya kuiba gari na kutokomea kusikojulikana, katika harakati za kukagua gari akakuta kuna mtoto ndani yake, ikabidi arudi hadi alipoiiba na kumkuta mama wa mtoto.
Baada ya kumkuta mama na mtoto akatishia kuita polisi kwa uzembe wa mama wa mtoto kuacha mtoto peke yake kwenye gari.
Mwizi hakuishia hapo, akamfundisha mama wa mtoto jinsi ya kutunza watoto wadogo, akamuonya kwa uzembe uliopitiliza wa kuacha mtoto peke yake kwenye gari.
Mwizi baada ya kutoa onyo kali na somo kubwa kwa mama wa mtoto, akamuamuru mama achukue mtoto wake kwenye gari na kisha jamaa akatokomea na gari huko kusikojulikana.
Hii ni somo kuwa sio wezi wote wana roho mbaya😂😂.
Car thief turns around, threatens to call police on woman for leaving young child in the vehicle, officials say Car thief turns around, threatens to call police on woman for leaving young child in the vehicle, officials say
Baada ya kumkuta mama na mtoto akatishia kuita polisi kwa uzembe wa mama wa mtoto kuacha mtoto peke yake kwenye gari.
Mwizi hakuishia hapo, akamfundisha mama wa mtoto jinsi ya kutunza watoto wadogo, akamuonya kwa uzembe uliopitiliza wa kuacha mtoto peke yake kwenye gari.
Mwizi baada ya kutoa onyo kali na somo kubwa kwa mama wa mtoto, akamuamuru mama achukue mtoto wake kwenye gari na kisha jamaa akatokomea na gari huko kusikojulikana.
Hii ni somo kuwa sio wezi wote wana roho mbaya😂😂.
Car thief turns around, threatens to call police on woman for leaving young child in the vehicle, officials say Car thief turns around, threatens to call police on woman for leaving young child in the vehicle, officials say