Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mtandao wa Ndoni wa Boxrec umebainisha kuwa mpiganaji kutoka Uingereza Liam Smith ambaye pambano lake la mwisho alipamabana na Bondia wa Tanzania, mwenye maskani yake nchini Marekani Hassan Mwakinyo, amefungiwa na Tume ya Michezo ya Jimbo la New York.
Sababu ya kuwekewa zuio hilo haijabainisha, lakini pia Mwakinyo amefungiwa kucheza Uingereza.
Sababu ya kuwekewa zuio hilo haijabainisha, lakini pia Mwakinyo amefungiwa kucheza Uingereza.