and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Jamaa kapandisha mabega Sasa tumeanza kumsahauBaikoko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kapandisha mabega Sasa tumeanza kumsahauBaikoko.
Alichofanya hakikubaliki halafu katika namna ya kijinga kabisa.Jamaa kapandisha mabega Sasa tumeanza kumsahau
Ngumbaru ndio tulivyoAlichofanya hakikubaliki halafu katika namna ya kijinga kabisa.
Mbona mwakinyo yupo bongo kitambo, kawa baba ntilieArudi sasa aendelee kupambana na akina mandonga mtu kazi. Asitange tange huko uzunguni akaja kamatwa na makosa ya uzururaji
Aunganr na ShishiMbona mwakinyo yupo bongo kitambo, kawa baba ntilie
Liam smith Amna kitu paleMtandao wa Ndoni wa Boxrec umebainisha kuwa mpiganaji kutoka Uingereza Liam Smith ambaye pambano lake la mwisho alipamabana na Bondia wa Tanzania, mwenye maskani yake nchini Marekani Hassan Mwakinyo, amefungiwa na Tume ya Michezo ya Jimbo la New York.
Sababu ya kuwekewa zuio hilo haijabainisha, lakini pia Mwakinyo amefungiwa kucheza Uingereza.
View attachment 2360708
Tamaa tamaa, hata hivyo nimejifunza wazungu nao kuna wakati wanapenda sana michezo kisengelenyuma.Ngumbaru ndio tulivyo
Elimu elimu elimuTamaa tamaa, hata hivyo nimejifunza wazungu nao kuna wakati wanapenda sana michezo kisengelenyuma.
Ni sawa lakini ulimwengu hauko tunavyouona na kuutafsiri.Elimu elimu elimu
Yeye kafungulia tangaAunganr na Shishi
Ngumi kachemsha?Yeye kafungulia tanga
Kafungiwa duniani na mbinguniNgumi kachemsha?
Huenda rushwa ilitembeaMtandao wa Ndoni wa Boxrec umebainisha kuwa mpiganaji kutoka Uingereza Liam Smith ambaye pambano lake la mwisho alipamabana na Bondia wa Tanzania, mwenye maskani yake nchini Marekani Hassan Mwakinyo, amefungiwa na Tume ya Michezo ya Jimbo la New York.
Sababu ya kuwekewa zuio hilo haijabainisha, lakini pia Mwakinyo amefungiwa kucheza Uingereza.
View attachment 2360708
Ilikuwa dhahiri sana.Huenda rushwa ilitembea
💯kwa kujulikana 🤣🤣🤣Anafunikwa hata na Mandonga
Mwamba alipandisha mabega kiboya💯kwa kujulikana 🤣🤣🤣