New York yamfungia aliyepambana na Mwakinyo

New York yamfungia aliyepambana na Mwakinyo

Mtandao wa Ndoni wa Boxrec umebainisha kuwa mpiganaji kutoka Uingereza Liam Smith ambaye pambano lake la mwisho alipamabana na Bondia wa Tanzania, mwenye maskani yake nchini Marekani Hassan Mwakinyo, amefungiwa na Tume ya Michezo ya Jimbo la New York.

Sababu ya kuwekewa zuio hilo haijabainisha, lakini pia Mwakinyo amefungiwa kucheza Uingereza.
View attachment 2360708
Liam Smith kamshinda Eubank leo
 
Back
Top Bottom