New Zealand: Mchawi mkuu wa Serikali afukuzwa kazi

New Zealand: Mchawi mkuu wa Serikali afukuzwa kazi

Afanye uchawi mshahara uendelee kuingia tu,kama anaita mvua mshahara kitu gani bwana?
 
Duh!Hawa wazungu nao wanatia aibu.

Labda niulize amesaidia vipi nchi yake kwenye janga la Corona?
Mkuu,swali lako jibu lake ni rahisi tu.Kazi ya Mchawi sio kutatuta majanga ya binadamu,bali huongozwa na hekima iliyo juu kutambua iwapo janga fulani linaepukika au la.Kwa jamii za wachawi wanaojitambua kazi yao ni kuelewa matukio na kuyatolea mwongozo kwa kadiri wanavoweza kuona.

Kwenye swala la KORONA hata wachawi wanajua kwamba hili janga ni utangulizi wa janga halisi ambalo tayari limeanza kutimia ingawa wengi hawajatambua wala kuliona.Janga lenyewe wachawi wamekwisha kuliona na kila wakitafakari wanatambua ukuu wa Mungu na uweza wake.

Hivyo basi kama wewe hujui kwamba uchawi upo usikatae bali jifunze uelewe.mshanajr anaweza kuwa mwalimu wako wa kwanza
 
Habari mkuu,
Napenda kukujuza kuwa mimi ni mwalimu wa mambo ya kiroho lakini sio Mchawi ni bora ukaniita tabibu au mtu wa Maarifa.
Kwani Uchawi maana yake sio ndo hio?mtu wa maarifa ya mambo ya kiroho na utatbibu
 
mji ni christchurch lakini wamekabidhi mambo yao kwa mchawi.
mji ni christchurch lakini wamekabidhi mambo yao kwa mchawi.
Kwanza Hata huyo Christ alikua mchawi Kama wachawi Wengine wewe kufufua watu,kugeuza maji kua divai,kutembea juu ya maji,kufa na kufufuka Sasa huo si uchawi tu?
Sema ni ule Aina ya uchawi wameupa Jina zuri la
MIUJIZA!
 
Unakuta mtu anawatukana watanzania kwa Imani za kishirikina
 
Duh!Hawa wazungu nao wanatia aibu.

Labda niulize amesaidia vipi nchi yake kwenye janga la Corona?
Kwamba uchawi unaweza kutatua kila tatizo?
Uchawi una viwango, hili waweza kulifanya lile likakushinda
 
Back
Top Bottom