KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 1,797
- 1,594
Kama wapo watajua wenyewe,lakini mimi binafsi namkubali Pep tu maana mlikuwa mnasema anakimbilia ligi mbovu lakini sasa kawafata ligi yenu.Sasa man city mashabik wanatoka wap na ww? Msimu uliopita mlikuwepo?
Tayar ushalewa hapa tupo na vitoto sasa kumuulize mwalimu wako wa language kama man city inangiliana na hayo mambo nashangaa hawa mashabik wa city wanatoka wap kumbe ni watu waliokata tamaa sasa wanailazimisha furaha kwa kuhamia sehemu fulan yenye unafuu baada kujeruhiwaTunazunhumzia ni pidgin au Creole?
A ha ha ha pale mtu point zinapomuishia anaukimbia mjadala.Tayar ushalewa hapa tupo na vitoto sasa kumuulize mwalimu wako wa language kama man city inangiliana na hayo mambo nashangaa hawa mashabik wa city wanatoka wap kumbe ni watu waliokata tamaa sasa wanailazimisha furaha kwa kuhamia sehemu fulan yenye unafuu baada kujeruhiwa
Ngoja niwaache baada ya kugundua hii timu imevamiwa na watu wanaotaka mafanikio ya haraka hata city ikichemka mtahamia timu nyingine itakayozuka kama uyoga.
Ligi ya uingereza haina mtawala msimu haujaisha hana hata kombe unaona kabeba kombe point zake ni mech tano mzunguko uliobak mech 19 msimu ulioisha kapigwa sasa nae anashinda kipi kipya?Kama wapo watajua wenyewe,lakini mimi binafsi namkubali Pep tu maana mlikuwa mnasema anakimbilia ligi mbovu lakini sasa kawafata ligi yenu.
Kwani Walker amecheza mara ngapWapo first 11?
Siangaliagi mechi za cityKwani Walker amecheza mara ngap
Mzunguko uliobaki kwanza ni mechi 18 sio 19.Ligi ya uingereza haina mtawala msimu haujaisha hana hata kombe unaona kabeba kombe point zake ni mech tano mzunguko uliobak mech 19 msimu ulioisha kapigwa sasa nae anashinda kipi kipya?
Mkuu huyu kaamua kubisha ili kuubisha ukweli.Hadi ile na man united nayo hukuichek?
Hujaelewa au? Walimu wanapata shida sana shuleni.Hadi ile na man united nayo hukuichek?
Mzunguko uliobaki kwanza ni mechi 18 sio 19.
Ligi EPL hana mtawala na wala hakuna ligi yenye mtawala.
Kipindi anapoteza hizo mech 5,maana yake wewe ushinde mechi 6 mfululizo.Maana magoli pia anawazidi zaidi ya magoli 20.
Sasa je kwenye ligi ngumu mbona ushindani hauonekani mkuu?.
Toka muda najitahid mno kutotumia lugha za kitoto hii ni kutokana na uwepo wangu hapa jf miaka mingi vingi nimejifunza ma makuzi niliyokuliwaWahafidhina kama wewe hawanaga tofauti na mademu wanaogawa tigo
Kwa sababu matokeo yanakuwa uanajulika kabla ya mechi, epl imekuwa ya kizembe sanaSiangaliagi mechi za city
Kwa kumalizia tu hata mama yako kabla hajukuzaa alikuwa anaitwa demu lazima alikuwemo kwenye lile kundi la wagawa tigoWahafidhina kama wewe hawanaga tofauti na mademu wanaogawa tigo
Sawa mkuu mjadala mwema lakini Pep atawasurubu mno maana kikosi chake ukimtoa Mangala wachezaji zaidi ya 16 wanaweza kuanza first 11 timu yeyote ile kwenye EPL kwamaana hiyo Pep atachukua ubingwa.Kuhusu kufungwa anaweza kufungwa na timu yeyote ile lkn sasa tambueni ubora wa Pep.Ushindani upo akizubaa anatolewa ndo mana unaona anajitahi kushinda
Nikulalamikiwe wewe wakat najua ni mtoto wa gest uliepatikana kwa wazazi malayaUnamlalamikia nan?
Sawa mkuu mjadala mwema lakini Pep atawasurubu mno maana kikosi chake ukimtoa Mangala wachezaji zaidi ya 16 wanaweza kuanza first 11 timu yeyote ile kwenye EPL kwamaana hiyo Pep atachukua ubingwa.Kuhusu kufungwa anaweza kufungwa na timu yeyote ile lkn sasa tambueni ubora wa Pep.
Ukishazoea kukaa vibalazani na dada zako haya ndo matatizo kila mwanaume unafikir anacheza mdako na dada zakoItakuwa wewe ni dada yake na sheik yahaya
Tena la mwanaspotiAcha ujinga kwan Walker amecheza machi ngapi, unazungumzia Stone ambaye amekaa majeruh muda mrefu wew utakuwa mpira unausoma kwenye magazeti
Huyo ndo anaekukaza nini? Una ugonjwa wa kuzimikia wanaume kuwa makinAtolewe na mourinho au?