Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
PambafuMmeshatoka UEFA
Mtakua hamuwazi tena. Tutarajie nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PambafuMmeshatoka UEFA
Mtakua hamuwazi tena. Tutarajie nini?
Punguza makasiriko boss kufungwa kawaida mbona tukishinda huji kutupongeza hope tumetoboa keka lako kwa xmass so kwa hasira hzoPambafu
Mi hua sibet.Punguza makasiriko boss kufungwa kawaida mbona tukishinda huji kutupongeza hope tumetoboa keka lako kwa xmass so kwa hasira hzo
Hahaha nliamua kukaa kimya kwa nia njema kabisaMi hua sibet.
Hiyo ilikua ni remark baada ya kushindwa kujibu nilichokuuliza.
Bado tunapambana sema watu wanatupa mategemeo makubwa we accept the challange we keep moving the wheelHaka katimu kanataka kubamba.
Kanataka kuchill na big boys
Mechi ya 9 hii away kameshinda mechi 1 tu
Hahaha bora ulijua mzeeHahaha nliamua kukaa kimya kwa nia njema kabisa
Mnahitaji kocha mwingine na wachezaji wengineBado tunapambana sema watu wanatupa mategemeo makubwa we accept the challange we keep moving the wheel
Nlicheza kama pele nliona naenda kibra hapaHahaha bora ulijua mzee
Uko sahihi kabisa then kuna hz people mbili chiesa na ramsdale kama dili zao ni kweli zitatuboost vya kutosha maana golini tuna golipicha so golikeeperMnahitaji kocha mwingine na wachezaji wengine
Howe kafanya kazi nzuri kuwafikisha hapo ila sidhani kama ana mbinu na know how za kuwapeleka next step. Kuna wachezaji hata akija kocha mwingine atabaki nao, kuna wengine atawatumia kidogo kabla ya kutafuta wengine.Uko sahihi kabisa then kuna hz people mbili chiesa na ramsdale kama dili zao ni kweli zitatuboost vya kutosha maana golini tuna golipicha so golikeeper
Jeuri ya pesa ipo sijui management inakwama wapi licha ya technical banch kua na madhaifu pale anahitajika jitu lilobobea kwenye saikolojia ya michezo maana kuna mda unaona team imetoka kabisa mchezoni hasa tukitangulia kufungwaHowe kafanya kazi nzuri kuwafikisha hapo ila sidhani kama ana mbinu na know how za kuwapeleka next step. Kuna wachezaji hata akija kocha mwingine atabaki nao, kuna wengine atawatumia kidogo kabla ya kutafuta wengine.
Hiki kipindi ndiyo mtajikuta mna near miss za trophies na vitu kama hivyo.
Vandalism ya kibabe sanaHuu ni ukorofi
View attachment 2862682
Unatupigia kelele tawi lenu?Zile point 3 ulizoziacha st james park umeshazisahau au ndo unajizima data huna cha kututambia kila moja mbabe kwake tuliza domo hiloHili ni kama tawi letu la kujiokotea points
Mum-tag muanzisha uzi aje kiumeni kule kenge mmoja
View attachment 2919345