Newcastle United Football Club special thread

Newcastle United Football Club special thread

Unatupigia kelele tawi lenu?Zile point 3 ulizoziacha st james park umeshazisahau au ndo unajizima data huna cha kututambia kila moja mbabe kwake tuliza domo hilo
20231125_232617.jpg
 
Historia imewekwa

Newcastle united yatinga fainali kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 baada ya kumbutua arsenal goli 2 - 0 kwenye nusu fainali ya kombe la Ligi, carabao
 
Historia imewekwa

Newcastle united yatinga fainali kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 baada ya kumbutua arsenal goli 2 - 0 kwenye nusu fainali ya kombe la Ligi, carabao
mwaka juzi si tulifika mkuu, tukafungwa na man u
 
Back
Top Bottom