Newcastle United Football Club special thread

Historia imewekwa

Newcastle united yatinga fainali kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 baada ya kumbutua arsenal goli 2 - 0 kwenye nusu fainali ya kombe la Ligi, carabao
 
Historia imewekwa

Newcastle united yatinga fainali kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 baada ya kumbutua arsenal goli 2 - 0 kwenye nusu fainali ya kombe la Ligi, carabao
mwaka juzi si tulifika mkuu, tukafungwa na man u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…