byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,647
- 4,184
Heko mkuu...tulishuka mara mbili....si mchezo!Sie si mlikuwa mnajificha mimi nimechekwa sana kwa zaidi ya muingi mmoja uliopita hadi sasa na mara kadhaa humu jf mimi sioni aibu kusema ni shabiki wa The Lads