watatamba mpaka siku visima vyao vya mafuta vikauke.Waarabu huwa hawana utani wanapowekeza ama kununua timu.. sio kama waafrika na baadhi ya wazungu.. hii timu itakua tishio sana..mtakuja kuniambia
Hahhaa, mafuta hayawezi kuisha..watatamba mpaka siku visima vyao vya mafuta vikauke.
DahππππNyie mnautofauti gani sasa na kina mwijaku na baba levoπππ