sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 3,334
- 7,651
Jackline.....
Tuseme na wewe upo kwenye list ya watu wasiojua kusoma Kiingereza?
I remember,kipindi sisi tunasoma wazazi wetu walikua wanatupa gazeti la Daily News na Guardian usome kwa usahihi na kwa sauti!
Punctuations zote,proper diction,vituo,alama za kuuliza,etc kwa usahihi,ukikosea unachapwa...
Sasa sijui Jackline kama huu ubeti umekushinda,hivi unaweza soma gazeti mfano Daily News kweli?
Na kama huwezi,hivi lawama ni kwa nani hasa?
Halafu hivi ni sifa mtu kutokujua kusoma na anasema wazi kabisa bila haya?
Aisee,huyu Ndalichako ana kazi kabisa!
Hasa hasa nawaonea huruma wazazi wako,zaidi ni familia yako utakayojenga,watoto wako watakua wazembe namna hiii hii,
Na wewe kama mama yao utakenua mimeno,halafu mwisho wa siku tunalalamikia CCM!
Wengine tumejisomesha wenyewe kwa kuuza kuni na kununua madaftari,
nyumbani kibatali,
mchana ugali tembere bila chumvi..
Unajilea mwenyewe yani hela ya kununua chumvi huna,
Je ya kununua gazeti la deire niuzi unapata wapi?
Wengine kijijini kwetu hakukuwa na magazeti wala tv..
Wengine walezi wetu hawakujua kusoma wala kuandika
Ukifikisha darasa la tano unashukuru,unaacha shule unaendelea kulea wadogo zako...
Mana baba analala kilabuni mama analala kilabuni
Shuleni tulifika kwa uwezo wa roho mtakatifu
Sent using Jamii Forums mobile app