sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 3,334
- 7,651
Mimi sifichi ujinga wangu ndio mana hata pale ambapo sikuelewa niliuliza,Tuna kazi sana:
Dairly=Daily
namimi= na mimi
matembere=matembele
yakwako=ya kwako
Tafadhari=tafadhali
Naongea na mtu asiejielewa kama hadi Kiswahili lugha yake ya Taifa na lugha ya wazazi na ancestors wake bado anashindwa hata kuandika kwa ufasaha...
Unavyoongea vyote watoto wa Tanzania 98% wamepitia hivyo,na leo wanajua kusoma na kuandika na wanategemewa na taifa sehemu mbalimbali!
Yaani wewe utatumia visingizio vyote na sababu zote kuhalalisha ujinga wako kua ni sahihi!
Wajinga hua hawakosi sababu.
Wote humu at some point tulikua wajinga ila tuliufuta ujinga kwa kutimiza wajibu wetu kwa kupata maarifa!
Ila wewe na mwenzako hapo sasa,ujinga mnasema ni halali!
ningekua naficha ujinga wangu ningejiona mwelevu na mjuaji kama wewe
Mna kazi wewe na nani?
Kwanini unapenda kuweka uwingi wakati mimi nazungumza nawewe?
Kwaiyo ulivyonirekebisha hapo juu basi ndio umejiona mjuaaaaaji kumbe kenge tu.
Hapo ni makosa ya kimaandishi na nimekosea kweli na hata wewe unayejiona mjuaji unaweza kukosea pia..
Tokea mwanzo mimi ni mtu nisiyejielewa ndio maana nikauliza pale ambapo sijaelewa
Haya wewe ndugu yangu mwelevu unanisaidiaje badala ya kunipa kejeri na kuonesha dharau juu ya elimu yangu na uelewa wangu..
Karibu tena
Sent using Jamii Forums mobile app