hivi itafika mpaka lini? tuambiane ukweli siyo kubebana kwani waziri ni MUNGU au malaika,hata wao ni hawafai 2,wapo kama vivuli 2 hakuna lolote, kama wanajua umuhimu siwange wa ajiri walimu,ina bakia KASSIMU MAJALIWA na MH JK, kudanganya walimu kwamba ifikapo january 2014 watawaajiri walimu? na mpaka sasa hakuna lolote,
Kweli mkuu,mfano mm nimemwambia mwajiri wangu(private school) kuwa sitaongeza mkataba tena ambao unaishia mwezi huu wa pili.Sasa nahisi kama hizi posts hazitatoka mwezi huu na hivyo kunipotezea mwelekeo.Kwakweli hawa jamaa wanadumaza na kupoteza malengo ya watu.ILA MIMI NAONA MPANGO NI KWENDA KWENYE WIZARA HUSIKA WATUAMBIE MOJA KUWA WANATOA HIZO POST AU LA.
huu mpango wao wa BRN utafanikiwa kwel kwa mtindo huu wa kushindwa kuwaajil walim kwa wakati?yaan pesa za walim kuwalipa hakuna lakin kupanga bajeti la bunge lao la kupeana ulaji ndo wanazo... sasa wanadhan hyo katiba yao itatekelezwaje kwa kuwa na watu mambumbumbu!
BRN ni mpango ulioshindwa kabla ya kuanza utekelezaji. Naamini mioyoni mwao wana slogan nyingine kabisa: BFN - Big Failure Now.
usenge huu bora waseme hakuna ajira
usenge huu bora waseme hakuna ajira