Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Nimejifarijiii weee!Lakin leo ndio nimekubali kwamba inawezekana kweli ajira ni JULY. kwani hata waliopo wizarani hutoa habar za uongo! a'm too despared u guyz! hasira zangu zote ntazipeleka kwa wanafunzi!