William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Quote:
Originally Posted by Field Marshall ES
Wakuu sometimes tunakwenda out of the lines na hizi uncalled and unconstructive criticism! Au kwa sababu tu ni Minister Masha? a successful young man and larger than life at his age of 30s?
Quote:
Originally Posted by FDR.Jr
MAADILI GANI MNAYOYAZUNGUMZIA HAPA? MASHA HATA JUZI ALIKWENDA PALE KISUTU NA ALISALIMIANA NAO PUBLICLY.
UWAZIRI WAKE HAMFUNGI KUONGEA AU KUMTEMBELEA MTUHUMIWA PALE ANAPOSHIKILIWA NA VYOMBO VYA SHERIA.
NARUDIA TENA MASHA YUKO SAHIHI KAMA MTANZANIA, KIONGOZI NA MWANASHERIA
Quote:
Originally Posted by moelex23
Habari za ndani kabisa ni kuwa Masha hakwenda Keko hizi ni rumors ambazo hazina msingi wowote.
Tuwe waangalifu
Lo !! masikini !!
Quote:
Originally Posted by Mzee Mwanakijiji
Aliulizwa: "Mhe. Je ulikutana na kina Mramba au Yona" Jibu lake ni kuwa "nani nimekutana naye nyie haiwahusu"
Duh, tuna safari ndefu. Hii jeuri huyu kijana anaitoa wapi - when will some of these amateurs ever learn ? -ama ni yale yale ya birds of a feather ya kuleni majani na vijisenti. Tuendeleze mapambano ila tujihadhari na mabweha. Akumulikaye mchana, usiku atakuchoma - hivyo lazima tukae macho.__________________
Uzuri wa demokrasia ni kwamba unaruhusu kutokubaliana mawazo kistaarabu, wengine inaonekana mkipewa urais itakuwa ni mawazo yenu tu yaani wote lazima tukubali mawazo yenu tu, otherwise tunakuwa kila kitu kuanzia kutumwa mpaka kutumiwa, what a waste thinking!!
Masha ameenda kuwaona watuhumiwa, he did sasa kama tuko serious basi ni kutaka kujua sheria inasema nini, otherwise tunaweza kukubali kutokubaliana lakini sio lazima wote tukubali mawazo ya mtu mmoja tu hapa kwamba he is wrong, kwa sababu he is wrong on what base? Sheria au maneno tu, it is about time sasa Tanzania tukaanza kuwa na sheria zinazoeleweka, kama amefanya makosa kisiasa basi aadhibiwe kwenye kura,
Otherwise, Masha kama binadam ana haki ya kufanya anything, as long as havunji sheria je hapa kuna sheria ya jamhuri imevunjwa? Ajiuzulu kwa sababu gani eti kuwaona marafiki zake rumande ni sababu ya kujiuzulu kwa waziri wa jamhuri, si tutashusha hata hadhi ya kujiuzulu, yaani walioiba richimonduli wajiuzulku na anayeenda kuwaona marafiki zake rumande ajiuzulu?
Itakua serikali ya kusadikika basi!, Masha apewe nafasi ya kujieleza kwa nini ameenda huko kabla ya hizi hukumu!