Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo report has nothing to do with Kagame ni wikileaks ndio waliandika 2005,issue hapa ni kubwa kuliko hiyo report ni"sensorship" kutaka crackdown bloggers/net users....mlivyokariri kila kitu mnamlaumu kagame.Nadhani umefika muda wa kupuuza hizi propaganda za Kagame kwenye mitandao sisi tujikite kwenye propaganda za kidiplomasia kimya kimya na matokeo yake aje kuwa kama Taylor.
Sasa uzushi wa mitandao ya Rwanda
na kudhibiti blogs za TZ inahusiana vipi?????
Huu nao ni upuuzi mwingine...kukanusha taarifa za mitandaoni za Rwanda....what about za hapa nchini kuhusu dawa za kulevya ....
Any way hizi thread zilinifanya kuji-ban mwenyewe 10 dys. Watu kuchangia kwa mihemuko ya utaifa....kwa id fake...., ukanushaji wa taarifa hizi nao...hivyo hivyo.....hatuambiwi yule mhamiji haramu anayeshona nguo za Salma....na yule aliyeolewa na nduguye Kikwete kutoka Mkugwa miaka hiyo...
By the way operation imefikia wapi? logistics zake zikoje? Ni kweli kuna warundi na wakongo wamerudi au ni wanyarwanda tu...6 dys late after deadline ndo Nchimbi anajitokeza leo na matamko....msipofanya zoezi ili kwa weledi na endelevu....kama halitawachanganya...maana id za watanzania hamna mpaka mfuate historia za vizazi...sijui watu wamijini itakuwaje...mtaishushia hadhi Tanzania.
Ila huu utamaduni wa vyombo vya habari kuweka uwanja wa mapambano kwenye cyber si mzuri, watu hawafikilii, ni kutukana tu, hakuna hoja hata moja!
Umeona eee halafu jambo lingine nisilolipenda ni hii kauli yao ,;wana lengo la kumpaka matope Rais."hii kauli imekaa kimipasho sana .tatizo magogoni wamejaa wajanja wajanja muoneni huyo anavoropoka ujinga.
Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO Assah Mwambene leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara hiyo amekanusha taarifa zilizoandikwa kwenye mitandao kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ni shemeji wa aliyekuwa Rais wa Rwanda, marehemu Juvenal Habyarimana.
Taarifa hizi siyo za kweli na nafikiri taarifa zimeandaliwa kwa ajili ya kumpaka matope Mheshimiwa Rais. Kama kuna taarifa zozote basi tunaweza kutoa ufafanuzi lakini taarifa hizo siyo za kweli na bahati mbaya zimeendelea kujirudia na zinatoka kwenye mitandao mingi hasa kutoka Rwanda, amesema Mwambene na kufafanua kuwa lengo la mitandao ya kijamii ni kuhabarisha na kuelimisha umma wala siyo kupotosha jamii kwa kuandika habari zisizo na ukweli wowote.
Ili kukabiliana na taarifa potofu, Mwambene amesema, ...katika mabadiliko ambayo yanapendekezwa katika Serikali ya ku-deal na tatizo hili, tunakuja na pendekezo la kisheria litakalohakikisha kwamba tunamtambua kila mtumiaji wa mitandao hii kwa mfano blog. Nafikiri mmeanza kuona kuna training sasa zinafaanyika kuhakikisha kwa mfano --- wote wenye blogu unakuta wengi siyo waandishi wa habari, hajasomea uandishi wa habari lakini blogu yake inafanya kazi kama gazeti --- tulichokifanya sasa na nafikiri tutaendelea mpaka uje utaratibu wa kisheria, tunamtambua kila mtumiaji wa iwe ni blog, iwe ni Twitter, iwe ni internet cafe... alisema Mwambene.
Source: wavuti.com - Blog
Non sense .. yote haya kwa kuwa tu First Lady kaguswa?Ili kukabiliana na taarifa potofu, Mwambene amesema, ...katika mabadiliko ambayo yanapendekezwa katika Serikali ya ku-deal na tatizo hili, tunakuja na pendekezo la kisheria litakalohakikisha kwamba tunamtambua kila mtumiaji wa mitandao hii kwa mfano blog. Nafikiri mmeanza kuona kuna training sasa zinafaanyika kuhakikisha kwa mfano --- wote wenye blogu unakuta wengi siyo waandishi wa habari, hajasomea uandishi wa habari lakini blogu yake inafanya kazi kama gazeti --- tulichokifanya sasa na nafikiri tutaendelea mpaka uje utaratibu wa kisheria, tunamtambua kila mtumiaji wa iwe ni blog, iwe ni Twitter, iwe ni internet cafe... alisema Mwambene.
Sasa asiposema atajulikanaje anafanya kazi. Just throw anything hata kama hakina facts.Ninaamini kuna wafanyakazi waandamizi wa serikali wanachukua au kupewa jukumu la kuwa wasemaji au waratibu kuhusiana na taratibu, sheria na muundo wa mawasiliano kwa njia ya utandawazi bila hata kujua kilicho nyuma ya taratibu, sheria na muundo wake.
Watawezaje ku-regulate utandawazi wakati hata Ofisi ya Rais bado inatumia mbinu za kijima katika mawasiliano yake.
Huyu Assah Mwambene nina wasiwasi kama anafahamu kile anachokisema na implication yake nchini ambapo zaidi ya 29% ya budget inategemea wahisani wanaokuja na masharti kama wapendavyo.
Sasa asiposema atajulikanaje anafanya kazi. Just throw anything hata kama hakina facts.
Labda nihoji weledi na uelewa wake! hizi kazi za kupeana zina matatizo sana.
Halfu serikali inapswa kujibu upuuzi wa blog za Rwanda kweli!
Nakubaliana kabisa kwamba hakutumia exposure yake kupambanua mambo.Kaka,
Assah alikua msemaji wa wizara ya mambo ya nje.Angeweza kufanya vizuri zaidi ya hapa kwa exposure na weledi aliotakiwa kuwa nao
Mkuu Nguruvi3 , Hawa watu huwa wananishangaza sana. Kwenye mambo ya msingi ambayo wanatakiwa kuwaeleza Watanzania wala huwaoni hata kutoa pua zao lakini wanakuwa very active kwenye mambo ambayo ni trivia.Sasa asiposema atajulikanaje anafanya kazi. Just throw anything hata kama hakina facts.
Labda nihoji weledi na uelewa wake! hizi kazi za kupeana zina matatizo sana.
Halfu serikali inapswa kujibu upuuzi wa blog za Rwanda kweli!