Aaah si nyngi nitaichek..
vp yule dada roxie kwenye let it shine., una habari zake?
Nilihsi atakuwa mke wa tyler james(cyrus)..
Ni kweli kabsa! Ila sijaelewa kwa Robert Jr arudi tena kama Doctor Doom 😠 kwamba hakuna cast kabsaBP ni moja ya character pekee iliobaki kuirudishia heshima Marvel. Maana wamenuua Ironman na Rogers sahivi sioni ata ushawishi wa movies zao.
mkuu ni kali ndio naipa 7/10Kali? Ninayo kwa external ila sijaiangalia
Po poa ngoja niiweke kwa watchlistmkuu ni kali ndio naipa 7/10
Kwani hawawezi kichonga sura ya marehemu ivaliwe na mmoja wapoUvumi Unaenea Kuhusu ni nani anayeweza Kuchukua Nafasi ya Black Panther, huku kukiwa na tetesi zinaenea Hollywood kuhusu mustakabali wa filamu za Black Panther.
Ingawa Marvel Studios haijatoa taarifa yoyote rasmi, watu wa ndani wanapendekeza kwamba mabadiliko katika kurudisha uhusika mpya wa T'Challa.
View attachment 3205173
Hata hivyo, uwezekano wa kuanzisha toleo jipya la T’Challa au Black Panther mbadala umezua mijadala ya mashabiki. Ikiwa Marvel ataamua kufikiria upya mhusika, hii hapa ni orodha ya waigizaji ambao wanaweza kuchukua vazi hili:
1.
View attachment 3205174
2.
View attachment 3205175
3.
View attachment 3205176
4.
View attachment 3205177
5.
View attachment 3205178
6.
View attachment 3205179
7.
View attachment 3205180
8.
View attachment 3205181
9.
View attachment 3205182
10.
View attachment 3205183
11.
View attachment 3205184
12.
View attachment 3205185
13.
View attachment 3205186
14.
View attachment 3205187
15.
View attachment 3205188
16.
View attachment 3205189
17.
View attachment 3205190
18.
View attachment 3205191
19.
View attachment 3205192
20.
View attachment 3205193
Kwako wewe ni nani anafaa kuwa T'Challa mpya kwenye filamu za Black Panther? Binafsi Samuel Jackson au Machete ni moja ya machaguo bora sana. Anyway, hii ni Parody nothing serious 😃
Kwani hawawezi omba ruksa filamu ambazo wahusika hufa kabla ya kumaliza akikaa mwingine haileti maana yoyote, hii filamu siilewi kabisa, mtu kama machete wa nini kwenye black panther?, orodha ya wazee tu , hapo 1 mpaka 4 Ina afadhali wakichukua mmoja na kumvisha kinyago cha marehemu waombe ruksa pesa haishindwiNadhani itakuwa ni disrespectful kwa wanafamilia
Wameshaharibu kwenye Wakanda Forever! Ile ngoma ilionekana Namor amewaoa Wakanda wote!? Nguvu za wale watu wake hata Mbaku alinyoosha mikono! Halafu unampa taji Shuri!? Serious!? Diversity and Inclusion iliharibu filamu kabsaKwani hawawezi omba ruksa filamu ambazo wahusika hufa kabla ya kumaliza akikaa mwingine haileti maana yoyote, hii filamu siilewi kabisa
AnafaaBora hata Samuel Jackson akiingia huyo Snoop itakuwa ni p**sy, son of b*t*h... mwanzo mwisho, japo wanaweza wasitumie hayo maneno lakini hao jamaa character yao itakuwa si nzuri sana kama u gangster haupo...
Namuona huyu jamaa atapendezea zaidi...
Ray🤣🤣🤣🤣Samuel Jackson kama mkuu wa Avengers hawezi kua Black panther.
Binafsi naamini Jamie Foxx ni candidate mzuri. Pia inaniuma kwamba hatuna actor wa bara la Afrika tunayeweza kumtaja.
Imagine Vincent Kigosi maarufu kama Ray awe character ya Black panther
Namba 9 itapendeza sana mkuu. Shida ni kwamba jamaa ana bonge la msala, na makampuni mengi yameshavunja nae mkataba.Number 4, nimemuona kwenye muvi nyingi zinazoelezea umuhimu wa wamarekani weusi na weusi kwa ujumla kupigania haki zao, nahisi ni perfect candidate ukizingatia dhumuni kuu la hiyo muvi ni kuonyesha black race exelence.
Tofauti na hapo wampe Kanye….
Ye himself
kumbe anaitwa coco jones.!Coco jones?