avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Labda ahame nchi, basata ina wajibu wa kulinda watumiaji za kazi za wasanii awe amesajiliwa awe ajasajiliwa ni jukumu lao kuona kwamba kazi yoyote ya kisanii iliyotengenezwa na mtanzania au inayosambazwa kwa njia yoyote hapa nchini lazima inalinda maadili na mila na desturi za kitsnzania ajaribu kufanya hivyo kama wameuzuia wimbo ajitoe alafu asambaze mitaani aune ukubwa wa meno ya basata