Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
acheni unafiki nyie ney ana deal nyingi ikiwemo za matangazo kama airtel na hatujui ni kiasi gani amelipwa so mwacheni ayafulahie maisha bwana mna matatizo gani wakuu?!!!!!
Gari ya mwaka 2007 anasema ni mpya?
R.I.P Me.....🙁
kama matangazo yangekuwa deal nchi hii basi joti na mzee majuto wangekuwa mamilionea.
ishi kwa kuelewa sio kukalili mkuu joti anafanya matangazo na kampuni gani kubwa tigo? acheni wivu wa kijinga na kiukweli ney muziki umemlipa kuanzia last year acheni haishi anavyotaka sio mnavyotaka matola!!!!
kuna wengine mpo humu mnamdis ney kununua gari la 2007 wakati nyie mnatembea kwa miguu ndio africans hatuendelei sababu sio rushwa au matumizi mabaya ya madaraka tatizo kubwa hatuna akili na wivu wa kijinga hata mweusi mwenzetu akinafanikiwa!!!!!
acha kubwatabwata kama nyumba ndogo ya huyo mpiga kelele, tigo ni kampuni ndogo? wewe ni mzima kweli?
Gari sio maendeleo mkuu, nchi zilizoendelea wanakwepa sana individual transport wanapenda public transport kuzuia pollution
we kweli walinazi ndio maana unataka na mzee majuto anunue gari ya 37m kwa movie anazotoa za vituko acha ujinga na wivu wa kike au --------- wa wanaume wenzako coz una wivu wa kishoga!
unabwabwaja tu sasa ney ana mziki gani?
iko wapi?
Iv gari ya ney cc inatuhusu nini...kanunua UDA au???kwamba wananchi watatumia ktk usafiri....birthday ya ney unafatilia ww ni mamake au.
watu wapuuzi na hawajielewi wanadis ney kununua gari hayo ni maisha yake jaman keep it in the trush!!!!
kuna wengine mpo humu mnamdis ney kununua gari la 2007 wakati nyie mnatembea kwa miguu ndio africans hatuendelei sababu sio rushwa au matumizi mabaya ya madaraka tatizo kubwa hatuna akili na wivu wa kijinga hata mweusi mwenzetu akinafanikiwa!!!!!
Jana ilikuwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Mwanamuziki Ney wa Mitego na aliamua kufanya sherehe kwa mara ya kwanza kusherehekea siku hiyo kwa vile huu ndio mwaka wake wa kwanza kuwa na mafanikio katika muziki , Ney aliandika haya katika profile yake
"Nimejinunulia Gari Aina ya Murano Kama zaiwadi ya Birthday yangu , Limenigharimu Shilingi Mil 36 za Kitanzania , ni la Mwaka 2007 so bado ni Jipya Kabisa, One Love kwa mashabiki wangu
acha ujinga wewe kubwa zima lakini akili za kifala unauliza anafanya mziki gani? kwani we umemjua ney kupitia nini ubasha?!!!!!
kuna wengine mpo humu mnamdis ney kununua gari la 2007 wakati nyie mnatembea kwa miguu ndio africans hatuendelei sababu sio rushwa au matumizi mabaya ya madaraka tatizo kubwa hatuna akili na wivu wa kijinga hata mweusi mwenzetu akinafanikiwa!!!!!