boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
makosa aliyofanya Idrisa kuna mtu mwingine anaweza kufanya yale yale aliyetuloga kafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui alinunua ama kukopeshwa,lakini mnaweza kukadiria ni kiasi gani..Location:Mbezi Beach
![]()
Mkuu umetisha vby mno!!!!!maadam ni sheeeedah[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji1] [emoji1] [emoji1] umenichekesha sana mkuu!
sijui alinunua ama kukopeshwa,lakini mnaweza kukadiria ni kiasi gani..Location:Mbezi Beach
![]()
hiyo habari mpya kwanguHapo sio kwa jamaa wake?
heresy..........sijaiona sehemu yeyote..Nisaidie chanzo cha kuaminika..Alizawadiwa hiyo nyumba na mwarabu familia ya jamaa wa furniture centre sikuhizi GSM ....
Swali jiulize huo urafiki wa mwarabu na mbongo hadi kupeana ghorofa wapi na wapi
Haziji mara mbili zile pesa.....,ila akipata tena hatarudia.
Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia.
unahisi kaliwa au kala?Alizawadiwa hiyo nyumba na mwarabu familia ya jamaa wa furniture centre sikuhizi GSM ....
Swali jiulize huo urafiki wa mwarabu na mbongo hadi kupeana ghorofa wapi na wapi
Akipata tena nini?!labda kupatwa kwa jua.Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia.
Anaishi DarAnaishi Singida?
heresy..........sijaiona sehemu yeyote..Nisaidie chanzo cha kuaminika..