King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mara mbili tena?!!..Alifikiria kufuatwa na wanawake lukuki tena wenye majina ni kupendwa,ila akipata tena hatarudia!!!
kaliwaa....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]unahisi kaliwa au kala?
Kusema ingekuwa mimi ni rahisi sana na kwa kuanzia tu na mawazo yako ya fixed deposit tayari ungekuwa umefeli mapema tu.Ningelikuwa mm ningechukua Tzs 350mil nafungua Fixed Deposit kila mwezi nakula interest
Mi 150 najenga nyumba na naanzisha biashara
hata mie nilikuwa najiuliza huyu dogo anavyocheketukacheketuka hata kama u comedy nilingiwa na wasiwasi mkuuAlizawadiwa hiyo nyumba na mwarabu familia ya jamaa wa furniture centre sikuhizi GSM ....
Swali jiulize huo urafiki wa mwarabu na mbongo hadi kupeana ghorofa wapi na wapi
We acha tu mkuu yule kwa Wema hata akienda Mo lazima akalishwe[emoji1] [emoji1] [emoji1] umenichekesha sana mkuu!
Ni mnyamwezi kwa kabila. Mama yake mpare.Wema ni wa singida
Duh!!,yaani five hundred million anatembelea hilo puto!!!?...shikamoo mademu wa bongo muvi.sijui alinunua ama kukopeshwa,lakini mnaweza kukadiria ni kiasi gani..Location:Mbezi Beach
Ngoja tukusaidie. Wema ni mnyamwezi. Mama yake ni mpare.wema ni mchagga pure
Imebidi nimueleze kabila lake jamaa maana naona kakurupuka.Hakuna mchaga anaitwa sepetu mkuu
Imebaki storisijui alinunua ama kukopeshwa,lakini mnaweza kukadiria ni kiasi gani..Location:Mbezi Beach
Mie ni jirani ya hizo apartments, kwanza kwa location zilipo hawezi kuwa alinunua hata kama ni milioni mia tano, maana kiwanja tu kwa mbezi ya whitesands kinavuka hiyo bei. Halafu sijui kwa nini vijana wanajisahau dah atarudi kupiga picha za harusi mpaka za msiba wa mademu zake wote na iwe fundisho kwa wengine mnaenda kuuza sura mnajidhalilisha then mnapata hela bado mnakaa kudhalilika , why??sijui alinunua ama kukopeshwa,lakini mnaweza kukadiria ni kiasi gani..Location:Mbezi Beach