Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Niingilie maisha yako wewe unayekaa kwa dada tena nyumba ya kupanga. Hapa nilipo najuta hata kwanini nilianza kureply post zako. Nisamehe bana sikutag tena na hii itakuwa ya mwisho.Mkuu una akili finyu kama uyoga aisee,umeanza kuingilia maisha yangu tena kutoka kwa Nay?
Punguza povu kaka,next time ukiwa unapinga kitu uwe na evidence siyo kuropoka tu kaka!
NISAMEHE SANA KWA KUKUATTACK NA PIA NISAMEHE KWA KUSEMA NAY HANA BILIONI 1. Have a gud day Kayumba Primary School