kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Kwa hiyo mtu akiwa na itikadi tofaut na wew kaisaliti hiphop?
Mawazo mgando
Achana nao washamba na malimbukeni hao...hao kina kala roma mkoloni mapacha wote njaa kali kwa ujinga wa kufuata mkumbo