Neymar hana tofauti na Pogba, utoto mwingi sana!!

Neymar hana tofauti na Pogba, utoto mwingi sana!!

huyu dogo anaujinga mwingi sana. alikuwa na opponent mdhaifu(Nacho) lakini showoff nyingi. wangeconcentrate kupitisha mpira kwa Mbappe pengine mambo yangekuwa tofauti kidogo. mpaka goli la kwanza ndiyo wakagundua umuhimu wa Mbappe.
Wale wapambe wa neymar waliokuwa wanapiga kelele ooh neymar mchezaji bora waje hapa
 
Naangalia mtanange wa Uefa hapa kati ya Real Madrid Vs Psg naona Neymar licha ya kuwa na kipaji kikubwa bado ndani ya uwanja ameshindwa kuonesha thamani yake zaidi ya kufanya utoto mwingi kama vile kujiangusha na kupiga chenga zisizo na faida kwenye timu yake. Hana na tofauti na mpaka rangi kwenye Nywele kutoka Manchester!
Kama PSG wanamtegemea Neymar awape mafanikio watasubiri sana!

Povu ruksa...

Umeongea ukweli mtupu. Halaf nimeshangaa DI MARIA hakuwepo. Kama mimi ndiye kocha na nnahitaji matokeo basi siwezi kumuacha Di maria nje. Kwangu mimi Di maria ni mzuri kuliko neimar mbwembwe nyingi. Hata pesa yenyewe waliotoa haiendani nae. Mwarabu kapata hasara sana pale___Nyambafu kabisa.
 
Nilishangazwa sana na kitendo cha PSG kutowapa hadhi yao wachezaji kama kina Lucas Moura aisee
 
W92I0kwk.jpg


Kilicho mponzi kuku kwa Mganga ni rangi yake..
[HASHTAG]#HallaMadrid[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Cr7[/HASHTAG]
 
Panyalona mtakufa kwa depression ya vitu visivyowahusu . Cr7 ndo habari ya Ulimwengu.
 
Neymar alikua anafanya show ili Perez amnunue msimu ujao hakna kingne, ameona kwa psg ameingia chaka.
 
Back
Top Bottom