Neymar Jr amekurupuka kwenda PSG

Hutomsamehe kwa lipi mkuu huyo Dogo unayemuongelea ana washauri wabobezi, wanasheria, na anamsimamizi katika masuala yake ya soka kuna kitu wamekiona Kwa pamoja wamejadili wameona inafaa-mwache Dogo anyoshe yake hana cha kupoteza kuchukua kila kitu akiwa na Barca

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ngoja siku akiibebesha PSG ndoo ya UEFA ,na nadhani ni msimu huu wa 17/18
 

Binamu kitu fedha! Ukiwa nacho hujui nini maana ya shida.kijana miguu yake inamlipa.Na wewe kama mjomba angewekeza miaka ile sasa hivi ushakuwa CEO wa ile kampuni.kwa nini binamu umetupa fimbo umetegemea mbio? Mkimbizeni siyo sawa na mkamateni.
 
Mbona hujatoa Credit pale ulipoitoa hii Article?

Umeifannya kama umeandika wewe
Kwelii kabisa Mkuu sidhani kama yeye ndo kaandika. ..Kwa mtiririko huu wa mawazo nahisi huyu ni Edo kumwembe ndo kaandika


Nokia ya Torch
 
Kuna maisha baada ya mpira.
Pesa
Pesa
Pesa
 
Kwelii kabisa Mkuu sidhani kama yeye ndo kaandika. ..Kwa mtiririko huu wa mawazo nahisi huyu ni Edo kumwembe ndo kaandika


Nokia ya Torch
Wala sio Edo Mkuu, nimeisoma kwenye Website ya Shafii Dauda, zimepita siku 3-4 hivi.
 
Pambana na maisha yako mwache atafute pesa vikombe hata bachelor tunavyo
 

Dogo atapata mikataba minono ya kutangaza world cup ya qatar

Halaf tukumbuke paris ni mji wa kibiashara sana nina uhakika atapata pesa nyingi huko pia
 
Huyo ronaldo mwenyewe angepata mkataba huo kama wa neymar angeondoka....mpira pesa ndio maana neymar alitoka kwao brazil akapewa hela ndefu na barca la sivyo angebaki kucheza santos mpk leo
 
Neymar ata shine psg then atahamia Real Madrid after two years...
 
Nachokiona mie neymar atakaa psg kwa misimu 2 tu kisha ataenda man united mark my words
 
Kilichomfanya Neymar asepe ni barca kutouona mchango wake na kuuthamini, ilitokea gemu ya PSG pale Neymar alipopachika magoli mawili katika kusawazisha halafu eti Messi akaitwa Hero. Ndio akajua kuwa barca wao ni messi tu.

Afu barca si walikuwa wanamtaka Veratti? Wakaambiwa na rais wa PSG wasijaribu kuwachokonoa wachezaji wao mana yoyote atakaejarobu basi hayupo salama. Barca wakajifanya wajuaji kwenda kwa veratti PSG wakajibu mashambulizi tena kihuni zaidi, hawakutoa ndururu Ney kajinunua mweenyewena Barca wamemkosa Veratti
 
Very Good [emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ache Neymar apige hela asee hizo bil 1 kwa wiki yani hapo kwa mwezi tu bil5...tuzo kitu gani asee
 
Mleta uzi unakadi number ngapi ya Barca
pili Pesa kitu nyingine brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…