Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Nimeona taarifa Neymar Jr anarejea zake kwao Santos kutokea Uarabuni. Kipaji maridhawa kilichoenda na maji.
Neymar alitajwa kama mmoja ya wachezaji bora watakaovunja ufalme wa Messi na Ronaldo, lakini wapi!!
Neymar baada ya kuona ameshindwa kuwa mfalme Barcelona akakimbilia PSG ghafla na Messi nae akaibuka hukohuko🤣🤣
Neymar akashawishika na pesa nyingi za mafuta, akakimbilia uarabuni kwenye klabu ya Al Hilal.
Huwezi amini, kwa misimu miwili aliyokaa Al Hilal, amecheza mechi tatu tu na hakufunga goli lolote. Majeraha yalimuandama!!
Na sasa anarejea nyumbani, Santos alikoanzia maisha. Uamuzi sahihi hasa baada ya kula pesa za kutosha za mwarabu.
Kwangu mimi Neymar ni kama amefeli, hajafikia wala kukidhi matarajio makubwa ya wapenda kandanda ambao walitabiri makubwa zaidi kwake.
Neymar alitajwa kama mmoja ya wachezaji bora watakaovunja ufalme wa Messi na Ronaldo, lakini wapi!!
Neymar baada ya kuona ameshindwa kuwa mfalme Barcelona akakimbilia PSG ghafla na Messi nae akaibuka hukohuko🤣🤣
Neymar akashawishika na pesa nyingi za mafuta, akakimbilia uarabuni kwenye klabu ya Al Hilal.
Huwezi amini, kwa misimu miwili aliyokaa Al Hilal, amecheza mechi tatu tu na hakufunga goli lolote. Majeraha yalimuandama!!
Na sasa anarejea nyumbani, Santos alikoanzia maisha. Uamuzi sahihi hasa baada ya kula pesa za kutosha za mwarabu.
Kwangu mimi Neymar ni kama amefeli, hajafikia wala kukidhi matarajio makubwa ya wapenda kandanda ambao walitabiri makubwa zaidi kwake.