Neymar Jr kipaji cha soka kilichoshindwa kufikia malengo

Mess na Ronaldo ni gifted ambao huzaliwa kila baada ya miaka 50

Kuangalia failures za Neymar na kumfananisha na hao GOAT ni kukosea sana

Yeye kapambana na kaishia hapo peak yake so he has nothing to offer amefika climax
 
Discipline ni msingi WA Mafanikio yoyote ....Neymar ana kipaji ila Hana nidhamu ya Yale anayofanya mfano Ronaldo ni wakawaida Sana sasa hivi ila ana discipline ya kufanya mazoezi na kupambana hilo ndilo linalomweka sokoni mpaka sasa
Nakubali mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…