Nezha: Legend of deification

Nezha: Legend of deification

You have been a bad boy glu [emoji23]
Mimi glu napenda ile lafudhi yake sasa 😂😂hua nacheka tu nikimwangalia. Illumination kwa muvi bomba wapo vizuri sana..
Mama look I've made a rocket, Eeeeeeh. Kila kitu eeeh baadae akawaprove wrong the bank of evil.
Ushacheki Home?
 
Dah! Sawa tufanye umeshinda leo unamichambo utafikiri umekula pilipili hoho na uji..😂

Ngoja nikutoe tongotongo mfano hiyo the Martian ukiiangalia ni sci fiction lkn ni kama wameakti ktk uhalisia hakuna ma dude sijui kimetokea kibwengo gani.. hiyo contact utajifunza na kuiangalia lugha ktk jicho latofauti!.. katazame tusibishane sana sisi ni waangaliaji tu.. hicho ni kama chakula wewe unapenda kilichotiwa madikodiko sana mimi Hilo hapana Bora wanidanganye walau nusu lkn nusu nyengine iwe afadhari..
Naondoa stress humu maana zipo kama tani kadhaa..
Bwana bwana muvi zinazohusu masuala ya space hua sitizami nilikua na series hzo nikafuta kabisa.
Yaani wakudangaye nusu wakati kila kitu kipo studio ww unaona upo mars kabisa. Hell no, ndo yale ya superman kupigwa kipande cha reli hata hachubuki.
 
Mimi glu napenda ile lafudhi yake sasa [emoji23][emoji23]hua nacheka tu nikimwangalia. Illumination kwa muvi bomba wapo vizuri sana..
Mama look I've made a rocket, Eeeeeeh. Kila kitu eeeh baadae akawaprove wrong the bank of evil.
Ushacheki Home?
Glu n another Case aaseee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naondoa stress humu maana zipo kama tani kadhaa..
Bwana bwana muvi zinazohusu masuala ya space hua sitizami nilikua na series hzo nikafuta kabisa.
Yaani wakudangaye nusu wakati kila kitu kipo studio ww unaona upo mars kabisa. Hell no, ndo yale ya superman kupigwa kipande cha reli hata hachubuki.
Sasa kupitia ile familia ya dingi yuzazifu nakuamrisha Mimi kama Kaka yako utaangalia tu hata kwa mjeledi na lazima uzishabikie I we unataka au hautaki..😅
Kaangalie hizo muvi haraka ilasivyo mboko mbokoni..😜
 
Sasa kupitia ile familia ya dingi yuzazifu nakuamrisha Mimi kama Kaka yako utaangalia tu hata kwa mjeledi na lazima uzishabikie I we unataka au hautaki..😅
Kaangalie hizo muvi haraka ilasivyo mboko mbokoni..😜
Shemejio kanipiga kibuti sina amani naondoa stress na animation hizi
 
Pole sana dah! Ndo maana simuoni na nisingemkumbuka kama nisingeamsha bongo yangu.. tafuta mwengine au Kama vipi nikupointie...
No usinitafutie nature ilinikutanisha nae na anakila kitu nachohitaji ndio maana namkumbuka tu. Naamini nae kanihamu huko alipo. Nature naona sasa imeamua kututenganisha so itaniletea mwingine kama ilivyoniletea yeye.
(Ana id nyingine ila siijui so anatuchora hapa)
 
No usinitafutie nature ilinikutanisha nae na anakila kitu nachohitaji ndio maana namkumbuka tu. Naamini nae kanihamu huko alipo. Nature naona sasa imeamua kututenganisha so itaniletea mwingine kama ilivyoniletea yeye.
(Ana id nyingine ila siijui so anatuchora hapa)
Naona unamatumaini ya kurudiana!.. si mbaya ila wacha nature iseme nawe mkijirudi itakuwa vyema pia maisha ndo hayahaya..
 
Glu n another Case aaseee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaangalie vituko vya megamind uone😀😀 so funny
 
Back
Top Bottom