InawezekanaAu ndio uchawi wa nchi?
Katika kampeni zake za Kwanza 2015 alitumia Mwenge kama alama ya kujinadi(Ni mawzo yangu haya usije kitofauti).Ndiye muasisi au?
Mi mwnyw nahisi hivo[emoji23]Au ndio uchawi wa nchi?
😃Vikubwa tumekuachia wewe mtukufu
Uko sahihiTanzanite na Daslaam wapi na wapi? Lingeitwa Tambaza,Kibasila,Bibi Titi,Dosa Azizi Ali,Kawawa,Zaramo Bridge,Upanga,KK n.k
Tanzanite inafaa kuwepo Manyara huko.