NGACHOKA: Jina la Daraja 'Tanzanite' muonekano wa daraja kuna alama ya 'Mwenge'

NGACHOKA: Jina la Daraja 'Tanzanite' muonekano wa daraja kuna alama ya 'Mwenge'

View attachment 2105366

Habari ya mtandaoni kwasasa ni watu kupita na magari, bajaji, pikipiki, bodaboda katika daraja jipya la Tanzanite.

Wapo wenye kuisifu Serikali ya Mama, Wengine wanamuenzi Magu, wengine wanalaumu kuwa kwanini lisingejengwa Jangwani n.k

Mimi binafsi nimeshangazwa na mkinzano wa jina na uwakilishi wa daraja. Jina Tanzanite lakini nembo iliyowekwa Mwenge. Zilongwa mbali zitendwa mbali...

View attachment 2105368

Hii ni tafsiri kuwa jina lilikuja baada ya project kuanza au hakukuwa na mawasiliano kati ya msanifu na watoa kazi (Serikali)

Hiki ni kihoja, au nasema uongo ndugu zangu? Imenishangaza KWERI KWERI
Acha ikae hivyo.
 
Hicho kidubwasha hapo juu ni mwenge?

Ngoja nitafute picha yenye quality nzuri ni zoom...ni mwenge

Screenshot_20220202-180428-2.png
 
Hii sio render mkuu, huu ni mwenge kwenye real thing.

Hii ni picha halisi kabisa...nimefanya kuzoom tu mwenge uonekane...wameujenga kama walivyoonesha kwenye render
 
Tanzanite na Daslaam wapi na wapi? Lingeitwa Tambaza,Kibasila,Bibi Titi,Dosa Azizi Ali,Kawawa,Zaramo Bridge,Upanga,KK n.k

Tanzanite inafaa kuwepo Manyara huko.
Mabadiliko muhimu...


Majina hayo kwa hayo tu ili iweje?!

Muhimu lipo..

Lingeitwa .. ...darcity..pia sio vibaya..
 
View attachment 2105366

Habari ya mtandaoni kwasasa ni watu kupita na magari, bajaji, pikipiki, bodaboda katika daraja jipya la Tanzanite.

Wapo wenye kuisifu Serikali ya Mama, Wengine wanamuenzi Magu, wengine wanalaumu kuwa kwanini lisingejengwa Jangwani n.k

Mimi binafsi nimeshangazwa na mkinzano wa jina na uwakilishi wa daraja. Jina Tanzanite lakini nembo iliyowekwa Mwenge. Zilongwa mbali zitendwa mbali...

View attachment 2105368

Hii ni tafsiri kuwa jina lilikuja baada ya project kuanza au hakukuwa na mawasiliano kati ya msanifu na watoa kazi (Serikali)

Hiki ni kihoja, au nasema uongo ndugu zangu? Imenishangaza KWERI KWERI
Umeandika upuuzi mtupu
 
View attachment 2105366

Habari ya mtandaoni kwasasa ni watu kupita na magari, bajaji, pikipiki, bodaboda katika daraja jipya la Tanzanite.

Wapo wenye kuisifu Serikali ya Mama, Wengine wanamuenzi Magu, wengine wanalaumu kuwa kwanini lisingejengwa Jangwani n.k

Mimi binafsi nimeshangazwa na mkinzano wa jina na uwakilishi wa daraja. Jina Tanzanite lakini nembo iliyowekwa Mwenge. Zilongwa mbali zitendwa mbali...

View attachment 2105368

Hii ni tafsiri kuwa jina lilikuja baada ya project kuanza au hakukuwa na mawasiliano kati ya msanifu na watoa kazi (Serikali)

Hiki ni kihoja, au nasema uongo ndugu zangu? Imenishangaza KWERI KWERI
Mkuu usishangae. Hiyo ni ishara ya uwezo mdogo wa mawazo walio nao wafanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom