Loftins JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 10,485 Reaction score 13,693 Feb 2, 2022 #41 Kinyungu said: Nauchukia sana mwenge. Huwa naona kama ni alama ya wakomunisti au ujamaa itikadi ambazo hazijawahi kumsadia mwanadamu. Hiyo alama utadhani tupo kwa Kim Jon Un Click to expand... Kibiblia amelaaniwa yule anayekimbiza moto so hata taifa la Tanzania ni la laana tu hamna kitu.
Kinyungu said: Nauchukia sana mwenge. Huwa naona kama ni alama ya wakomunisti au ujamaa itikadi ambazo hazijawahi kumsadia mwanadamu. Hiyo alama utadhani tupo kwa Kim Jon Un Click to expand... Kibiblia amelaaniwa yule anayekimbiza moto so hata taifa la Tanzania ni la laana tu hamna kitu.
Mkazamoyo JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 1,495 Reaction score 2,543 Feb 2, 2022 #42 darcity said: Tanzanite na Daslaam wapi na wapi? Lingeitwa Tambaza,Kibasila,Bibi Titi,Dosa Azizi Ali,Kawawa,Zaramo Bridge,Upanga,KK n.k Tanzanite inafaa kuwepo Manyara huko. Click to expand... Hayo majina kuna mzee humu ndani utakuwa umemfariji sana kuyataja
darcity said: Tanzanite na Daslaam wapi na wapi? Lingeitwa Tambaza,Kibasila,Bibi Titi,Dosa Azizi Ali,Kawawa,Zaramo Bridge,Upanga,KK n.k Tanzanite inafaa kuwepo Manyara huko. Click to expand... Hayo majina kuna mzee humu ndani utakuwa umemfariji sana kuyataja