Ngano ni nafaka hatari sana

Angalia headline ya habari yako.Imefanya ulichoandika kikose ukweli.Huwezi kufa kwa kula vinavyotokana na ngano.Ukiwa na gluten intolerance haifanyi ngano iwe "nafaka hatari sana".
 
Kuna mahali pia nilisikia kuwa mahindi nayo ni hatari sana kwa afya..!!! Tushike lipi tuache lipi
 
Angalia headline ya habari yako.Imefanya ulichoandika kikose ukweli.Huwezi kufa kwa kula vinavyotokana na ngano.Ukiwa na gluten intolerance haifanyi ngano iwe "nafaka hatari sana".
katika nafaka, ngano ni nafaka hatari sana. Ikiwemo na wenzake kama shayiri. Si lazima iue
 
Mikate ya mahindi ipoje??, juu ya yote unga wa sembe siku hizi unatiwa virutubisho (fortification chemicals), sina hakika kama hizo fortifications zina usalama gani!!.
Inaokwa kawaida tu kwa kutumia unga wa dona. Lakini hawatumii hamira, wanatumia tu baking powder.
 
Ah ukiwasikuliza Sana wataalamu utaishi maisha ya shida Sana mda huohuo ukiyaita ya kisasa! Sasa tusitumie ngano tule Nini Sasa?
Juzi Kati BBC walileta list ya vyakula vya kutopendelewa eti ndizi, asali nk.
Nb.
Kila chakula wanakiwekea pingamizi ya matumizi yake.
Babangu kazaliwa mwaka 1930. Kwa miaka yote hi ameishi akila wanga na ngano uisemayo. Na Tena anapenda chai maandazi ile mbaya.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hii life ya ki TZ ngano ni pagumu mtu kukuelewa athari maana ndiyo mlo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…