Nani huyoooooGoooooool
Sisi 3 wao 1Updates tafadhali
πππππππUnaachaje kuipenda simba kwa mfano
Huhuhuuuuuuu! Simba Raha sana67' Simba 3- Azam 1
Triple C Mnyama
Wouzerrr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Goooooooooooooooolooooooooooal....SSC 3- Azam 1 Chama
Pole mkuu. Naona unachungulia kwa mbaliWazee was kujaza uwanja naona umetapika na watu kibao bado wapo nje.πππ
mzee said bakhresa bado ana kadi ya simbamambo ni motrooooo
Vyura hawakawii kusema azam imepewa hela ili iliwe goli zote hizooππ
anakutana lini na yanga67' Simba 3- Azam 1
Triple C Mnyama
Tena kama hao, tunawapuizia na dawa vyumbani ili lipate kutimia neno la ZaheraBado Ud Songo watapata tabu Sana!
Ni tawi la mikia hyo...mzee bhakresa hawezi kuwaacha vijana waifunge team yakeMmeipa kibarua cha kuitetea yanga!!?