Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Mechi ya ngao ya jamii, itachezwa jumatano na hii ni kuonyesha ufunguzi mpya wa Ligi kuu ya Vodacom ambayo itaanza mwishoni mwa wiki.
Kila mtu anaipenda timu flani kati ya Simba na Yanga, na siku hiyo ni lazima mshindi apatikane......hata kwa penati.
Nani kuibuka mbabe??? Simba au Yanga;
Mandla.
Komredi siku ya jumamosi wakati natizama kipindi cha Kurasa za mwisho katika chaneli ya Azam Sports 2 waliuzungumzia huu uzi wako kuhusiana na ulichoandika.Aliyeroga vizuri na ambaye hajaacha deni lolote kwa Mganga ndiyo ataibuka mshindi.
Aliyeroga vizuri na ambaye hajaacha deni lolote kwa Mganga ndiyo ataibuka mshindi.
Mkuu GENTAMYCINE, naomba uje utoe ufafanuzi tena, maana Simba wanarejea Dar bila kupita katika bandari hizo
View attachment 571427
Sioni goli hapo labda macho yangu hayaoni vizuri.KIKOSI CHA KWANZA CHA SIMBA DHIDI YA YANGA
1. Aishi Manula
2. Ally Shomary
3.Zimbwe Junior
4. Salum Mbonde
5. Method Mwanjali
6. James Kotei
7. Shiza Kichuya
8. Haruna Niyonzima
9. Mzamiru Yassin
10. Laudit Mavugo
11. Emmanuel Okwi
Komredi siku ya jumamosi wakati natizama kipindi cha Kurasa za mwisho katika chaneli ya Azam Sports 2 waliuzungumzia huu uzi wako kuhusiana na ulichoandika.