Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
Mechi ya ngao ya Jamii, itachezwa jumatano tarehe 23/08/2017 na hii ni kuonyesha ufunguzi mpya wa Ligi kuu ya Vodacom ambayo itaanza mwishoni mwa wiki.
Kila mtu anaipenda timu flani kati ya Simba SC na Yanga SC, na siku hiyo ni lazima mshindi apatikane hata kwa penati.
Nani kuibuka mbabe? Simba SC au Yanga SC.
Mandla.
Kila mtu anaipenda timu flani kati ya Simba SC na Yanga SC, na siku hiyo ni lazima mshindi apatikane hata kwa penati.
Nani kuibuka mbabe? Simba SC au Yanga SC.
Mandla.